Hivi kwa nini kumchampia mtu inaenda na kuvimba sana na tantalila za shobo nyingi sana?

Hivi kwa nini kumchampia mtu inaenda na kuvimba sana na tantalila za shobo nyingi sana?

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Hello, niende kwenye mada, why michepuko ama wezi wa penzi wana vimba sana wakati mwenye mume au mke, au mwenye mpenzi ashagusa sana shoo na toka kitambo. Sasa unakuta sisi na wao visokolojo tunavimba sana na tantalila nyingi sana kwenda kwa wenyewe, hivi hapo uvimbaji unajengwa na kipi cha ziada?

Kwanini tunavimba sana ukiwa unamchapia mwingine iwe kwa mademu au kwa maboys unakuta uvimbaji upo vile vile na tantalila kama zote.

Tuambizane sababu kwanini tunavimba ili iweje na kipi ambacho yule hajapata?

Tuchangamkie hio ntajibu comments zote.

Nipo hapa

Wadiz
 
2271e2eb-75b0-43c7-a23c-56aa48346420.jpg
 
Mfano unafuga n'gombe wako wa maziwa,unamlisha vizuri,misosi mizuri,unazingatia matibabu hata kumwogesha unamwogesha ili upate maziwa siku ukihitaji,halafu siku Moja n'gombe wako anaamua kwenda kwa mlugaluga mmoja awe anamkamua Bure kabisa,mluga luga ataacha kutamba?
 
Mfano unafuga n'gombe wako wa maziwa,unamlisha vizuri,misosi mizuri,unazingatia matibabu hata kumwogesha unamwogesha ili upate maziwa siku ukihitaji,halafu siku Moja n'gombe wako anaamua kwenda kwa mlugaluga mmoja awe anamkamua Bure kabisa,mluga luga ataacha kutamba?
🤣🤣
 
Hello, niende kwenye mada, why michepuko ama wezi wa penzi wana vimba sana wakati mwenye mume au mke, au mwenye mpenzi ashagusa sana shoo na toka kitambo. Sasa unakuta sisi na wao visokolojo tunavimba sana na tantalila nyingi sana kwenda kwa wenyewe, hivi hapo uvimbaji unajengwa na kipi cha ziada?

Kwanini tunavimba sana ukiwa unamchapia mwingine iwe kwa mademu au kwa maboys unakuta uvimbaji upo vile vile na tantalila kama zote.

Tuambizane sababu kwanini tunavimba ili iweje na kipi ambacho yule hajapata?

Tuchangamkie hio ntajibu comments zote.

Nipo hapa

Wadiz
Wanaovimba hayajawakuta....

Mara ya Kwanza nilimchapia jamaa mmoja akaja na kundi lake walikua wabeba nyuma wakanifata Hadi home ili wanifanyie fujo bahati nzuri kama Mungu Tu siku hiyo Baba mdogo alikuja home na rafiki zake. Wote ni wanajeshi wa Jwtz aloo wale masela walipigishwa gwaride Hadi wakajuta...

Baadae nikajifunza kupiga kimya kimya... Kwa mwaka huu tu nimechepuka na Wanawake 8 bila kugundulika
 
Wanaovimba hayajawakuta....

Mara ya Kwanza nilimchapia jamaa mmoja akaja na kundi lake walikua wabeba nyuma wakanifata Hadi home ili wanifanyie fujo bahati nzuri kama Mungu Tu siku hiyo Baba mdogo alikuja home na rafiki zake. Wote ni wanajeshi wa Jwtz aloo wale masela walipigishwa gwaride Hadi wakajuta...

Baadae nikajifunza kupiga kimya kimya... Kwa mwaka huu tu nimechepuka na Wanawake 8 bila kugundulika
Umepiga wake za watu 8 mwaka huu?
 
Hello, niende kwenye mada, why michepuko ama wezi wa penzi wana vimba sana wakati mwenye mume au mke, au mwenye mpenzi ashagusa sana shoo na toka kitambo. Sasa unakuta sisi na wao visokolojo tunavimba sana na tantalila nyingi sana kwenda kwa wenyewe, hivi hapo uvimbaji unajengwa na kipi cha ziada?

Kwanini tunavimba sana ukiwa unamchapia mwingine iwe kwa mademu au kwa maboys unakuta uvimbaji upo vile vile na tantalila kama zote.

Tuambizane sababu kwanini tunavimba ili iweje na kipi ambacho yule hajapata?

Tuchangamkie hio ntajibu comments zote.

Nipo hapa

Wadiz


Upumbavu sana kulala na Mwanamke ambaye anaishi na mwanaume mda wote na unajua, sijui kwa nini watu Hawana kinyaa.
 
Huo utakuwa Ni ushamba tu unaomfanya mtu kuvimbia mambo ya kijinga Kama hayo.
 
Mke wa mtu ni sumu, niamini mimi. Nimeshuhudia wengi wakidhalilika kwa kutembea na wake za watu.
 
Back
Top Bottom