Hivi kwa nini Tanzania hatubadilishi Menu? Ni umaskini au ukosefu wa ubunifu!

Hivi kwa nini Tanzania hatubadilishi Menu? Ni umaskini au ukosefu wa ubunifu!

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Familia za Kitanzania kila siku chakula cha aina moja, ugali maharage/nyama au wali lije jua au mvua kama ulifikiri labda nyumbani ni shida ya bajeti kwa nini ukienda kwenye migahawa wanapika yale yale kila siku 24/7, hata ukienda kwenye cafetaria za vyuo au wanapokula Wafanyakazi town menu ni ile ile kila siku mchicha, maharage kama ni nyama kuku au ng‘ombe, basi.

Kama ni nyama choma ni hivyo hivyo kila siku mbuzi wa kuchoma ndizi.

Kwa nini hatubadilishi labda tambi kidogo, viazi au hata Mihogo na viazi vitamu, maboga au hata pizza na burger, pilau au hata biriani ?

Mtu anakula ugali maharage mchicha kama lunch kazini akirudi nyumbani hivyo hivyo na kesho na kuendelea, …
 
Ni kwasababu watu wamezoea kula vyakula wanavyokula nyumbani,na wengine hawana pesa ya kununua chakula kingine
Nakumbuka Kila Mara nilikuwa nikienda Nyumbani likizo tunabishana Sana na mother angu Kila siku ananunua Nyama,alikuja kunielewa baadaye Sana kwamba Nyama haifai kuliwa Kila siku
 
Ni kwasababu watu wamezoea kula vyakufa wanavyokula nyumbani,na wengine hawana pesa ya kununua chakula kingine
Nakumbuka Kila Mara nilituma nikienda Nyumbani likizo tunabishana Sana na mother angu Kila siku ananunua Nyama,alikuja kunielewa baadaye Sana kwamba Nyama haifai kuliwa Kila siku
Dah nampenda mama yako Kabla sijamuona!!nyama tamu bwana
 
Familia za Kitanzania kila siku chakula cha aina moja, ugali maharage/nyama au wali lije jua au mvua kama ulifikiri labda nyumbani ni shida ya bajeti kwa nini ukienda kwenye migahawa wanapika yale yale kila siku 24/7, hata ukienda kwenye cafetaria za vyuo au wanapokula Wafanyakazi town menu ni ile ile kila siku mchicha, maharage kama ni nyama kuku au ng‘ombe, basi.

Kama ni nyama choma ni hivyo hivyo kila siku mbuzi wa kuchoma ndizi.

Kwa nini hatubadilishi labda tambi kidogo, viazi au hata Mihogo na viazi vitamu, maboga au hata pizza na burger, pilau au hata biriani ?

Mtu anakula ugali maharage mchicha kama lunch kazini akirudi nyumbani hivyo hivyo na kesho na kuendelea, …
Wengine wanabadili mkuu
 
Hoteli za mjini nyingi hupati vyakula vya asili mfano ugali wa mhogo au wa mtama hata kwa mama ntilie ugali ni wa mahindi tu.

Watanzania wengi hatujazoea kula tambi au pasta, tambi za sukari zainaliwa sana mwezi wa Ramadhani ni wachache wanaokula tambi na nyama kama chakula.
 
Ngoja leo jioni nimwambie dada ndizi utumbo.

Wali ugali mikate,wali ugali chapati, wali ugali mikate,wali ugali mikate, ugali wali chapati, 24/7 miaka na miaka.
 
Familia za Kitanzania kila siku chakula cha aina moja, ugali maharage/nyama au wali lije jua au mvua kama ulifikiri labda nyumbani ni shida ya bajeti kwa nini ukienda kwenye migahawa wanapika yale yale kila siku 24/7, hata ukienda kwenye cafetaria za vyuo au wanapokula Wafanyakazi town menu ni ile ile kila siku mchicha, maharage kama ni nyama kuku au ng‘ombe, basi.

Kama ni nyama choma ni hivyo hivyo kila siku mbuzi wa kuchoma ndizi.

Kwa nini hatubadilishi labda tambi kidogo, viazi au hata Mihogo na viazi vitamu, maboga au hata pizza na burger, pilau au hata biriani ?

Mtu anakula ugali maharage mchicha kama lunch kazini akirudi nyumbani hivyo hivyo na kesho na kuendelea, …
Biriani tunakula kila ijumaa, isitoshe ugali ndio main food ya Waafrika wengi kasoro wahaya tu.

Swala la diet ni la mtu binafsi kila mtu na serikali yake, kuna ambao ni wapenda kula vizuri na kuna wanaokula ili wasife tu.
 

Attachments

  • 20211029101047.mp4
    4 MB
Biriani tunakula kila ijumaa, isitoshe ugali ndio main food ya Waafrika wengi kasoro wahaya tu.

Swala la diet ni la mtu binafsi kila mtu na serikali yake, kuna ambao ni wapenda kula vizuri na kuna wanaokula ili wasife tu.
Nimemtumia jamaa yangu hii video, nikienda Dar lazima tununue sinia la biriani tule peke yetu
 
Back
Top Bottom