Hivi kwa nini Tanzania hatubadilishi Menu? Ni umaskini au ukosefu wa ubunifu!

Hivi kwa nini Tanzania hatubadilishi Menu? Ni umaskini au ukosefu wa ubunifu!

Nakosanaga sana na wife..yani msosi wa home hakuna maajabu kabisa..wali..ugali..ndizi..mboga ndio samaki..nyama..mboga za majani..matunda na juis ya matunda.

Hadi zinaboa...sometimes namis mrenda..michembe..nswaru.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biriani tunakula kila ijumaa, isitoshe ugali ndio main food ya Waafrika wengi kasoro wahaya tu.

Swala la diet ni la mtu binafsi kila mtu na serikali yake, kuna ambao ni wapenda kula vizuri na kuna wanaokula ili wasife tu.
Huo mzigo mtu ngapi?..hilo lisinia.
 
Hili jambo namwachia mke mdogo Kasie akujibu. Huu udhalilishaji hatuwezi kuurusu

Cc Mke mkubwa Sky Eclat kwa taarifa na utekelezaji

Rabeka Mume Wangu, mtoa mada amesema watanzania wengi na research yake anayo mwenyewe....

Sitatoa sana siri ya milo yetu ya nyumbani, namuonesha kidocho tuuu vile tunakulisha mie na dada Sky ....


B4075DC5-7F1E-457E-9539-5215B83C2510.jpeg

5A507F2C-0091-4E19-8994-91FFECA8B56E.jpeg

7AAB3922-4DEF-47BF-A49F-2BA7F70506B1.jpeg

764E399C-A5F7-4254-A575-5DAFA14B8DE2.jpeg

2D86DDF3-DC6F-4734-ACF1-D36302C21D54.jpeg

F1E7E0E6-46AD-4200-B5A9-07DAAF6ADFDA.jpeg



Vile nakupenda, utakula kile unataka hadi ucheue....😊😜😜😜😋.
 
Hivi biriani ni mchanganyiko wa nini na nini? samahani kwa swali bro
Nenda you tube uliza hili swali utaelewa kila kitu, tukitaka kujua aina za misosi mbali mbali ni vema kujifunza kupitia you tube, mimi nimekuwa nikijifunza you tube kisha na share na wife misosi ninayotaka aipike, kupitia you tube kajifunza kupika vyakula vya aina nyingi sana, hiyo imetusaidia kuweza kubadili menu sio kila wakati kula wali maharage nyama mboga za majani au ugali maharage nyama na mboga za majani
 


Wuuuhuuuuuuuuuu


Aahahahahahahhaaaaa


Natumai umesikia sauti yangu na kuona vile nimetabasamu......


Wigowan Mahabuba.....

Hapana chezea utaliii Matata....😆😆😆😆😆😆😍😍😍😍...


Yalaitiiiiii
Nakupenda pasiii kifaniiii

Tafautiiiii sikutiliii moyoniii
Sikuachiiiiii

Leo na kesho peponiiii, aaaahhh aaaahhhh aaaahhh Aiiilaavyuuuuuuuu......😘😘😘😘💋💋💋💋💋💋.
 
Kwa hiyo sisi tule pizza na burger, ushatuona wazungu tayari........mbona wazungu hatuwaoni wakila wali, ugali, viazi, mihogo, magimbi wala makande, kila watu wana tamaduni yao kwenye ulaji.
Umenena vyema kabisa mkuu, namna ya ulaji ni sehemu ya utamaduni wa jamii husika. Cha msingi ambacho watu wanapaswa kupata ni elimu ya kuzingatia mlo kamili (yale makundi makuu matano ya vyakula). Ukila burger na mimi nikala ugali kwa dagaa au nyama tunapata vitu vile vile. Viazi, magimbi, migogo na jamii zake nazo zinatumika kama chanzo cha wangu sawasawa na mahindi, mtama, mchele n.k.
Elimu juu ya mlo kamili inahitajika sana, unakuta Mkoa kama wa Mbeya upo miongoni mwa mikoa yenye asilimia kubwa ya utapiamlo kwa watoto chini ya miaka mitano, unabaki kujiuliza tu.
 
Back
Top Bottom