KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Alimng'ata kisogo kiongozi wetu wa kwaya!.Kafanyaje kwani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alimng'ata kisogo kiongozi wetu wa kwaya!.Kafanyaje kwani?
Unachoka vipi nyama?unachemsha,unabanika,unachoma,unarost,unakaanga Sasa nachokaje jamani?😀Nyama kula Kila siku mchana na jioni zinachosha Sana Mkuu,wewe huzichoki ?
Hivi bado unachakujitetea mpaka leo..?
Mazoea tu...Yeah lkn ina namna 1000 ya jinsi ya kuitengeza na ku enjoy zaidi, kwa nini kila siku Nyama na mchuzi?
Umesema kubanika umenikumbusha,ngoja nikachinje sungura nimbanike sahiviUnachoka vipi nyama?unachemsha,unabanika,unachoma,unarost,unakaanga Sasa nachokaje jamani?
Jera inakuhusu..😀Ndio ninacho.
Piga hesabu ya kawaida, waafrika rarely kukosa ndugu kwenye familia. Lets say on average una familia ya watu 5, watakula viazi vya kias gan cha fedha waridhike?Viazi vinashibisha kuliko hata ugali na hata virutubisho ni vingi zaidi!
Viazi unakula na nyama au samaki.Hivi kwa huu uchumi ulivojambia mbali af ule tu-viazi usiku utalala kweli???
Sisi tunakula kushiba kutokana na hali ya kipato
Yes. Very gokd concept. Changamoto yangu ni moja, what happ3ns ukiwa na familia kubwa?Viazi unakula na nyama au samaki.
Samaki si lazima wawe changu, kama familia ni kubwa unanunua ndoo ya uono na debe la viazi. Wanakula kitu fish and chips.Yes. Very gokd concept. Changamoto yangu ni moja, what happ3ns ukiwa na familia kubwa?
Kubwa ni umaskini na kukosa ubunifu. Wazungu huchoshwa sana na menu zetu.Familia za Kitanzania kila siku chakula cha aina moja, ugali maharage/nyama au wali lije jua au mvua kama ulifikiri labda nyumbani ni shida ya bajeti kwa nini ukienda kwenye migahawa wanapika yale yale kila siku 24/7, hata ukienda kwenye cafetaria za vyuo au wanapokula Wafanyakazi town menu ni ile ile kila siku mchicha, maharage kama ni nyama kuku au ng‘ombe, basi.
Kama ni nyama choma ni hivyo hivyo kila siku mbuzi wa kuchoma ndizi.
Kwa nini hatubadilishi labda tambi kidogo, viazi au hata Mihogo na viazi vitamu, maboga au hata pizza na burger, pilau au hata biriani ?
Mtu anakula ugali maharage mchicha kama lunch kazini akirudi nyumbani hivyo hivyo na kesho na kuendelea, …
😃😃😃😃😃 usisahau korie au alizeti iko juu hatariSamaki si lazima wawe changu, kama familia ni kubwa unanunua ndoo ya uono na debe la viazi. Wanakula kitu fish and chips.
Ila maharage yanafaa kuliwa kila siku?Ni kwasababu watu wamezoea kula vyakula wanavyokula nyumbani,na wengine hawana pesa ya kununua chakula kingine
Nakumbuka Kila Mara nilikuwa nikienda Nyumbani likizo tunabishana Sana na mother angu Kila siku ananunua Nyama,alikuja kunielewa baadaye Sana kwamba Nyama haifai kuliwa Kila siku
Hivi biriani ni mchanganyiko wa nini na nini? samahani kwa swali broNimemtumia jamaa yangu hii video, nikienda Dar lazima tununue sinia la biriani tule peke yetu