- Thread starter
- #21
Mungu ana kazi Gani sasaNakushauri usijiingize katika mambo yanayokuzidi uwezo wakati andiko lako kunionyesha ni kilaza failure. Kwanza hujui kubwa baraka ni two way traffic, "ubarikiye nitambariki na umulaaniye nitamulaani". "Utajachofunga duniani na mbinguni litafungwa na utakkachokifungua duniani na mbinguni kitafunguliwa". Hiyo ni mifano michache kati ya mingi