Nkolandoto
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 4,102
- 4,028
Wewe unaurefu ganiKipimo inategemea na Mwanamke aliyenaye...[emoji2]
Maana kuna wanawake warefu ajabu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unaurefu ganiKipimo inategemea na Mwanamke aliyenaye...[emoji2]
Maana kuna wanawake warefu ajabu...
Utajapigwa uchakae.Mimi nikiona mwanaume yuko na demu mrefu kuliko yeye na wanatembea barabarani kwa miguu huwa naenda kumuomba demu namba ya simu mbele ya jamaa yake alaf huyo jamaa yake namsalimia "dogo vipi? naona uko na dada"
Atakuwa ni mrefu ndiyo maana kaandika kwa kujiamini hivyo...Acha dharau.Wewe ni mrefu???.
Woooooooozah!!!!!![emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]Sitokuwepo, utamfundisha shemeji yako then yeye atanifundisha mimi nikirudi.
Mtu mfupi tangu lin akajua kupigana? Mm ndo ntamchakaza Cha muhimu tu nitazingatia asining'ate mahali maana mtu mfupi akikung'ata hakuachii Hadi afie hapohapoUtajapigwa uchakae.
Tulizana Tuliii...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wivu hadi kwa dada!
Urefu wangu inategemea nimesimama na nani...Wewe unaurefu gani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Atakuwa ni mrefu ndiyo maana kaandika kwa kujiamini hivyo...
Makasiriko ya nini Mkuu?
Ukisimama na Mie unakiwaje sasaUrefu wangu inategemea nimesimama na nani...
Vya nini?Woooooooozah!!!!!![emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Nije na nini? Na nini?
Sasa wewe nakujua Mkuu...Ukisimama na Mie unakiwaje sasa
Vitendea kazi[emoji23]Vya nini?
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Sasa wewe nakujua Mkuu...
Leta picha kwanza.. halafu nikupe jibu..
Vitendea kazi huwa anaandaa mwalimu au mwanafunzi?Vitendea kazi[emoji23]
Ya Urefu au Ufupi wako...[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Picha yangu ipi sasa
Wanashirikiana[emoji23]Vitendea kazi huwa anaandaa mwalimu au mwanafunzi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaume wafupi MDA huu.....[emoji4]View attachment 1961214
Since when?Wanashirikiana[emoji23]