Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,980
- 34,404
Nije lini sasa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nije nimpe Mdogo wangu darasa...Nauli nitajilipia mwenyewe..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nije lini sasa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Mdogo wako hawezi kuwa na shida wala, mzungu mja8uo huyu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tutakuletea uba hadi nyumbani!Nije lini sasa?
Nije nimpe Mdogo wangu darasa...Nauli nitajilipia mwenyewe..
Mkutano wa miujiza naona unanihusu.Humtaki dadako nyumbani kwetu!
Kaeni mjadiliane... mnipe ratiba ya kuja huko..[emoji23][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Hili sasa balaa na robo tatu[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Humtaki dadako nyumbani kwetu!
Ahsante Shem darling....Tutakuletea uba hadi nyumbani!
Tunalifanyia kazi shem![emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Jadilianeni nije lini?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mkutano wa miujiza naona unanihusu.
[emoji2216][emoji2216][emoji2216][emoji2216][emoji2216]
Wewe unataka kuja lini?Kaeni mjadiliane... mnipe ratiba ya kuja huko..[emoji23]
Nashukuru Shem..Tunalifanyia kazi shem!
Acha dharau.Wewe ni mrefu???.Hata wanawake warefu wanapenda wanaume warefu.
Sasa mwanaume unakuwaje mfupi eti[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Mwisho wa mwezi huu....Wewe unataka kuja lini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha dharau.Wewe ni mrefu???.
Sitokuwepo, utamfundisha shemeji yako then yeye atanifundisha mimi nikirudi.Mwisho wa mwezi huu....
Nakufundisha siku mbili/tatu zinatosha kabisa.. AU?
mm ngapi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uko na mm ngapi mkuu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wivu hadi kwa dada!Sitokuwepo, utamfundisha shemeji yako then yeye atanifundisha mimi nikirudi.
Mimi nikiona mwanaume yuko na demu mrefu kuliko yeye na wanatembea barabarani kwa miguu huwa naenda kumuomba demu namba ya simu mbele ya jamaa yake alaf huyo jamaa yake namsalimia "dogo vipi? naona uko na dada"[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]kwa hali hiyo wasitembee na miguu wapande gari?
Love you babe.mm ngapi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wivu hapo uko wapi jamani babe[emoji2369][emoji2369][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wivu hadi kwa dada!