Hivi kwa nini wanawake wafupi asilimia kubwa wanapenda kuolewa na wanaume warefu?

Hivi kwa nini wanawake wafupi asilimia kubwa wanapenda kuolewa na wanaume warefu?

Ndiwooooooooo! Owongo owongoo??[emoji23][emoji23] Unakuta nje anavutia balaaa ila ndani kaduchuuuu! Kweli Mungu hakupi vyote[emoji16][emoji16][emoji16]
Unaharibu Uzi Sasa...
IMG_20210928_230806.jpg
 
Kwahiyo ID za kiume zitakazo pita pita kwa hii thread ni team tall guys eh?


Nitamtembelea mmoja PM atakaye bahatika. [emoji39]
Wanavokusubiri kwa hamu Sasa[emoji3][emoji116]
IMG_20210918_180828.jpg
 
Wanawake hao hudhani na huamini wanaume wafupi wananguvu (mabansa)

1..akiolewa nawewe mfupi Basi atakosa ulinzi na taito fulani hivi (siunajua kwamba neno wameoana vibwego hlitakosekana

2__ huzani wanaume warefu basi Wana maumbile yaa ume kubw nandefu kwani wao vina vyao sihabaa kumbe sikweli

Note; kumbe sikweli siuliona magoti alivopindua meza
OMG! Muandiko wa wapi huo? Unasoma darasa la ngapi mtoto, muda wa darasani huu unakimbilia JF. Wazazi waangalie hili!
 
Wanaume warefu wanajal, wanajua kupenda, wanajiamini, hawana visirani nyie, hao watu waachwe jamn wana nafasi zao peponi
 
Back
Top Bottom