Hivi kwa nini wanawake wafupi asilimia kubwa wanapenda kuolewa na wanaume warefu?

Kwahiyo ID za kiume zitakazo pita pita kwa hii thread ni team tall guys eh?


Nitamtembelea mmoja PM atakaye bahatika. [emoji39]
Wanavokusubiri kwa hamu Sasa[emoji3][emoji116]
 
OMG! Muandiko wa wapi huo? Unasoma darasa la ngapi mtoto, muda wa darasani huu unakimbilia JF. Wazazi waangalie hili!
 
Wanaume warefu wanajal, wanajua kupenda, wanajiamini, hawana visirani nyie, hao watu waachwe jamn wana nafasi zao peponi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…