[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]" wana nafasi peponi" umenikumbusha uleee uzi!Wanaume warefu wanajal, wanajua kupenda, wanajiamini, hawana visirani nyie, hao watu waachwe jamn wana nafasi zao peponi
njoo unipe denda basi na mimi nijisifuWanaume warefu aisee wanavutia mno! Afu muda wa kukiss sharti babe ainame kidogo kunifikia ama mimi niinue kichwa kidogo kumfikia raha, popote mlipo nawapendaa
Wife toluu[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
kwa kimo hicho hata pole haikutoshi...
Sasa Mwanamke wako urefu/ufupi upo vipi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]I can't imagine, nmebanwa kicheko afu najitahidi nikipotezee.View attachment 1961323
Mambo yao waachie wenyewe.......Wanaume warefu wanavutia sana ila wengi wao chini kufupiii [emoji23][emoji23][emoji23]
And vice versa is true
Tall 6.2m, Black, handsome..PM for more details tujue hii weekend inaishaje.hivi kwa nini wanawake asilimia kubwa wafupi wanapenda kuolewa na wanaume warefu?
Kwani nimekasirika??. Kwanza nashangaa unavosema nimekasirika.Atakuwa ni mrefu ndiyo maana kaandika kwa kujiamini hivyo...
Makasiriko ya nini Mkuu?
Mimi ni mrefu sana,sema ninawatetea watu wafupi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uko na mm ngapi mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inasikitisha sana!Mambo yao waachie wenyewe.......
Cc: Smart911
Wewe ni mrefu?njoo unipe denda basi na mimi nijisifu
mimi ni mrefu tena kila sehemuWewe ni mrefu?
Hadi dushe ni hivi hivi kwa size but in inch sio futiKimazoea,
Mwanaume mrefu Ni kuanzia futi 6.1 na kuendelea
Wa size ya Kati,
Ni kuanzia futi 5.5-5.9
Mfupi,
Ni futi futi 5.4 kushuka chini
Wahisheni kikao hicho Bila kuchelewa sii kwakunyanyapaliwa huko.Kwakweli, Mmefedheshwa Sana....View attachment 1961336
Kwa mwanamke je ni sawaKimazoea,
Mwanaume mrefu Ni kuanzia futi 6.1 na kuendelea
Wa size ya Kati,
Ni kuanzia futi 5.5-5.9
Mfupi,
Ni futi futi 5.4 kushuka chini
Ila mnatupa shida wakati wa doggy style inabidi tuiname kidogoWanaume warefu aisee wanavutia mno! Afu muda wa kukiss sharti babe ainame kidogo kunifikia ama mimi niinue kichwa kidogo kumfikia raha, popote mlipo nawapendaa
Oooh!! Basi sawa.Mimi ni mrefu sana,sema ninawatetea watu wafupi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli sijawahi ona mwanaume mrefu mwenye kisirani, ila sasa hutu tuemolo[emoji2297][emoji2297][emoji2297]Wanaume warefu wanajal, wanajua kupenda, wanajiamini, hawana visirani nyie, hao watu waachwe jamn wana nafasi zao peponi