Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
- Thread starter
-
- #21
migebuka ya waziri mkuu ndio maana yupo gongo la mbotoKwa vumbi lile hata ungekuwa ww ungerudi kweli?πππ
Umewasingizia pakubwaUsiishie kwa watu wa kigoma ,pata nafasi kuwafuatilia wahaya ,Kati ya wahaya 10 Saba hawajarudi kwao miaka mingi
Ni kweli kabisa nimewaona wengi tu kutoka Kigoma wakitoka kurudi ni majaliwa. Tulikuwa na mmoja shuleni tangu form one hadi form six hajurudi kwao!Ili swali najiuliza maana kuna mfanyakazi mmoja wa kuchunga mifugo kwa sasa umri wake unakaribia miaka 55 unaambiwa tokea alipokuja mkoa x akiwa na umri wa miaka 15 hajawai kurudi kwao na wala hajui kulivyo wala ndugu.
Acha uongo sasa tusirudi Nyumbani kwani tumezaliwa apa πIli swali najiuliza maana kuna mfanyakazi mmoja wa kuchunga mifugo kwa sasa umri wake unakaribia miaka 55 unaambiwa tokea alipokuja mkoa x akiwa na umri wa miaka 15 hajawai kurudi kwao na wala hajui kulivyo wala ndugu.
Chanikamigebuka ya waziri mkuu ndio maana yupo gongo la mboto