Kuna mjeda mmoja ni mstaafu jw na wengine kibao tu nakunywa nao gongo na wakija kazi yao ni kudondadonda kwa sisi maafisa betting na street fighter. Sema Wana kale ka hela wanapewa mwisho wa mwezi sijui ni kanini wakikapata wanatamba siku moja mbili then kudonda kunaendelea. Hawa polisi ndo Wana njaa mpaka matakoni Kuna mmoja alikua na shirikishi ubandani wa gongo akatuarest Mimi nkiwa mmoja wapo nlikutwa na gongo ya jero mkononi tukabebwa na wakabeba na jeti la mama muuza. Jeti namaanisha bompoli la pombe pia namaanisha chupa Lita moja imejaaa pombe pombe ambayo namaanisha ni gongo. Basi bwana moja na moja mpaka kawe central tukawekwa ndani it was Saturday mida ya mid day. Tukalala kwa kukosa sponsor Bana eee mi kingereza sijui na taratibu za uandishi sijui nukta sijui nini. Namaanisha udhamini tulikosa tulikua wengi. Basi bwana askari alikua shift ya usiku si akalinywa jeti lote la pombe na asubuhi likuja karibu na selo yetu akawa anafagia kolido mwenyewe huku akituchangamsha na maneno ya kilevi Levi. Ila tunashukuru alitusaidia usafi sku hyo maana asingeamka na vibe la gongo angechomoa mtu mmoja kwa selo yetu akafanya usafi but sku iyo alimaliza shoo mwenyewe na maji ya kunywa akatuletea. Baada ya pombe kuisha akawa Benjamin netanyau tena.
Malaana ya Watu Afande Hawa wa maturubai na yule mkuu wa kituo OCS nnawalaani duniani na Kesho akhera mbwa ninyi sitawasamehe na nawaombea yawakute mabaya mpk siku mnatokewa na roho zenu ,mna roho mbaya nyie Watu Sijapata kuona...
Dhulma mnazofanya hapo maturubai mtakuja kulipwa ka sio nyie baasi vizazi vyenu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.