Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda Yuko kwenye nafasi mpya zijazoHuu mkosi mkubwa
Wenzio wamepitishwa bila kupingwa..
Wengine polisi wameingiza masanduku mradi wapite...
Sasa inakuaje chama kisimsaidie na yeye??
Mbunge anadhaminiwa na chama sio wananchi. Hta bungeni mnakaa kwa mfumo wa kichama, same to kamati. Na ndio maana Leo Mbowe akimfuta uanachama huyo dada ndio ubunge wake unafia hapi hapo.Wananchi wamempigia KURA, aende akawawakilishe, mbunge ni wa wananchi sio wa chama. Akisusa atakuwa kawasusia wapiga Kura wake
Bosheni hiyo mkuu shtuka. Mama kapitushwa tu. Simjui lkn utakuta ni dhaifu flani, kufunuka kombeHuu mkosi mkubwa
Wenzio wamepitishwa bila kupingwa..
Wengine polisi wameingiza masanduku mradi wapite...
Sasa inakuaje chama kisimsaidie na yeye??
Kwani wengine hawakutumia hela.? ni bora tu ahamie CCM ili aendelee na ubunge bila pressureAtulie apige mpunga ni uboya kuachia kiti wakati katumia pesa kibao kupiga kampeni. Mwisho wa siku ndio ajira yake hiyo ya uhakika kwa miaka 5. Hawezi kupewa chakula na chama chake kwa miaka hiyo mitano. Sana muonea wivu tu.
In drama tuu, kesho kutwa utasikia ni mkuu wa mkoa Njombe.Huu mkosi mkubwa
Wenzio wamepitishwa bila kupingwa..
Wengine polisi wameingiza masanduku mradi wapite...
Sasa inakuaje chama kisimsaidie na yeye??
Ni wivu tu kwanini aache au kwa kuwa wakubwa zake hawajapita?Wakuu Salaam:
Nazunguka kila site kufatilia kinachojiri kuhusu matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika juzi.
Mh.Aidah Khenan ameshinda kupitia CHADEMA dhidi ya Kessy kule Nkasi Kaskazini. Sasa kinachoshangaza ni baadhi ya watu ambao pia wana Profile nzuri tuu kwa namna fulani wanapendekeza hata huu Ubunge alioshinda huyu Mh. aupige chini.
Ubunge ni kazi kama kazi zingine na yeye pia anao wanaomwangalia.
Ule ulikua ni uchaguzi na yeye ndiyo katangazwa, kwanini watu wanapendekeza na kutoa maoni kabisa asikubali na wala asiende bungeni wakati ndiyo yeye katangazwa?
Hao wanaomwambia aache ubunge ni wenye wivu tuu.Kwani wengine hawakutumia hela.? ni bora tu ahamie CCM ili aendelee na ubunge bila pressure
Siyo rahisi hivyo.Na ndio maana Leo Mbowe akimfuta uanachama huyo dada ndio ubunge wake unafia hapi hapo.
Hata ningekuwa mm siwezi kuacha ubungeSiyo rahisi hivyo.
Bunge la juzi tu umeona jinsi waliounga juhudi Job Ndugai alisimamia kidete ticket ya ubunge isipotee.
Mbowe hata amfute huyo mama uanachama, bado atatetewa na ubunge wake utabaki halali na ndiyo njia ya kuunga juhudi.
Watoto wake utawalipia ada shuleKukubali kuwa kashinda kihalali ni kumaanisha wenzie wameshindwa kihalali.
Nakumbuka 2017 Woman MP wa Nairobi alishinda kwa zaidi ya 70% ila Odinga alidai ameibiwa kura.
Sasa yule Dada aliyapinga matokeo yake kuwa nayo hayatambui sababu angeshangilia ina maana Odinga naye alishindwa kihalali.
Maadam wenzio wameonewa lazima uonyeshe solidarity!!
My point is sheria ndio inasema hivyo otherwise akimbilie mahakamani ili awe mbunge pending maamuzi ya mahakama.Siyo rahisi hivyo.
Bunge la juzi tu umeona jinsi waliounga juhudi Job Ndugai alisimamia kidete ticket ya ubunge isipotee.
Mbowe hata amfute huyo mama uanachama, bado atatetewa na ubunge wake utabaki halali na ndiyo njia ya kuunga juhudi.
Labda huyo aidah ni chakula yaHuu mkosi mkubwa
Wenzio wamepitishwa bila kupingwa..
Wengine polisi wameingiza masanduku mradi wapite...
Sasa inakuaje chama kisimsaidie na yeye??
NdioWatoto wake utawalipia ada shule
Ni upumbavu tu et aache ubunge kisa wakubwa zake hawajapata ubungeWatoto wake utawalipia ada shule
😂😂😂😂😂😂😂Ndio
Huyo dada alikua mbunge kitambo tu ana kiinua mgongo cha 200m. Ana vitega uchumi kibao huko alipo na pia ana taaluma kibao nje ya siasa.Watoto wake utawalipia ada shule