Uchaguzi 2020 Hivi kwanini baadhi ya watu wanataka Aidah Khenan wa CHADEMA ajiuzulu Ubunge alioshinda?

Uchaguzi 2020 Hivi kwanini baadhi ya watu wanataka Aidah Khenan wa CHADEMA ajiuzulu Ubunge alioshinda?

Kukubali kuwa kashinda kihalali ni kumaanisha wenzie wameshindwa kihalali.
Nakumbuka 2017 Woman MP wa Nairobi alishinda kwa zaidi ya 70% ila Odinga alidai ameibiwa kura.

Sasa yule Dada aliyapinga matokeo yake kuwa nayo hayatambui sababu angeshangilia ina maana Odinga naye alishindwa kihalali.

Maadam wenzio wameonewa lazima uonyeshe solidarity!!
Solidarity kwenye hela wewe kiazi kweli
 
Hii ni trick... Ishu imepangwa ikapangika.. kessy hajashindwa uchaguzi! Watakua wanasema km wameiba mbona khenan kashinda? Wametoa nafasi moja kuhalalisha ushindi wao! Nonsense
 
Sasa atakuwa na raha gani wenzake wote wanalia yeye peke yake anafurahia?na je anaamini wenzake wote Tanzania nzima wameshindwa kihalali kama sivyo aungane na wenzake kushinikiza watawala kutopoka tena haki ya wananchi ya kikatiba ya kuchagua viongozi wanaowataka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unajua ni fedha kiasi gani kwa mwezi anapokea kama mshahara?

Unajua posho zao wabunge kwa kila kikao hlf uzidshe kwa miaka 5?

Kiinua mgongo je?

Yale ni maisha hivyo aachwe.
 
CCM lwa igiza tu hamjambo. Maalim anashinda kuanzia 1995 lakini hapewi. Huyu mama kapasiwa ubunge kama kizawadi fulani vile! Inaniuma sana japo siishi hapo. Wanaoishi hapo sijui wanajisikiaje?
 
Atulie apige mpunga ni uboya kuachia kiti wakati katumia pesa kibao kupiga kampeni. Mwisho wa siku ndio ajira yake hiyo ya uhakika kwa miaka 5. Hawezi kupewa chakula na chama chake kwa miaka hiyo mitano. Sana muonea wivu tu.
Chadema wanatabia ya kujitoa fahamu[emoji3]
 
Huu mkosi mkubwa
Wenzio wamepitishwa bila kupingwa..
Wengine polisi wameingiza masanduku mradi wapite...

Sasa inakuaje chama kisimsaidie na yeye??
Akili za udongo. Huyeyuka kwa tone la maji. Hizo box ziliingilia huku mtandaoni. Acheni utopolo bana. Tuijenge nchi yetu tuachane na porojo.
 
Ubunge aendelee nao maana at the end politics is business like other business, tunamuonea tu huruma jimbo lake litakosa connection ya kupata maendeleo.JPM voice
Kwani huyu Aidah ni mweupe au mweusi??😅

Nauliza tu, nijue ka ataipata hiyo connection!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Umefikiri sahihi.

Chuki zikianzia kwa CHADEMA juu ya Aidah kua anaenda bungeni wakat wenzake hawajatendewa haki itakua ujinga, acha akafanye kazi yake kwa miaka 5.
Wamwache mama wa watu akapewe vx yake ushamba ni mzingo
 
Mbunge anadhaminiwa na chama sio wananchi. Hta bungeni mnakaa kwa mfumo wa kichama, same to kamati. Na ndio maana Leo Mbowe akimfuta uanachama huyo dada ndio ubunge wake unafia hapi hapo.
Anaunga,juhudi tu
 
dada wa watu atakua punchbag la wabunge wa ccm

maana sasa akina msukuma na kibajaji bila kuwananga wapinzani huwa hakuna wanachoweza kufanya,kwahiyo watampiga mande hadi aunge mkono juhudi
 
whyn not? kama ameshinda sasa kwanini asiende bungeni. binafsi namshauri aende pengine ndiyo our next Mvp baada ya Lissu for 2025.
 
Mbele ya million 300 sa kustaafu ,wewe ungeachia ?Acheni ujinga.
Kila anayelalamika kuhusu kushindwa ni kwamba anaona kapoteza Fedha nyingi sana kwa miaka 5 kama posho na mishahara na wanajua jinsi zilivyo tamu achilia kiinua mgongo.

Maisha yaendeleee
 
Kama mwanaharakati ajiengue tu, ili CCM wasipate kisingizio cha kushindwa kupeleka maendeleo nkasi sababu wamechagua mpinzani
angezipiga za mwanzoni mkopo ajiengue....afidie gharama na uchovu awaachie msala...wanainchi tudai maendeleo kama yapo sasa...bunge litakuwa kikao cha sisiem nani atamfokea magufuli au seikali yaani wacha wakapate shida wabunge wa ccm hawawezi kufanya chochote zaidi ya kumsifia magufuli...hii inchi inaenda utumwani...MTAJIJUA WENYEWE MI NIMEJITOA
 
Back
Top Bottom