Hivi kwanini binadamu wana roho mbaya sana juu ya wanyama?

Paka wa bar ni usumbufu ila kuwapiga au kuwaghasi wanyama bila sababu ni tabia za sadists.
 
Tofauti ya watanzania wengi na wanyama kimaisha ni ndogo sana.
 
We umejuaje kuwa hawana hatia?

Sisi sio wazungu kucheka cheka na wanyama na kuwageuza wanadamu. Sisi kuwatia discipline na kuwaadabisha ndio kazi yetu.
 
Hakuna ushahidi thabiti kuipa mada hii uhalali wa kuwajumuisha Watanzania wote na Ukatili.

Itoshe, tuwakemee na kuwalaani watu wote pamoja na haya magaidi ya mitandaoni, wanaoweka dhana ya Ukatili wa Mtanzania. Wanaipaka matope nchi yetu.


Mtanzania ni mtu makini sana. Ni mbongo. Na ukiona mbwa ama paka anafurushwa seheme ujue amefunua mfuniko wa sufuria enye mboga!

Stop this senseless narratives.

Narudia, hakuna ushahidi wowote ule thabiti ama research iliyofanywa kudai Jamii ya Kitanzania ni ya kikatili.
 
Wana roho mbaya hata kwa bianadamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…