Mediocrist
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 1,709
- 981
Yeah inachanganya fasta sana tho inategemea na dere yukoje kikubwa stability ipo na comfort kiasi chake ipo sio to the maximum kama wakina benz wagon hapana ππ yaani haichoshi na imetulia barabarani kuna sehemu ihumwa kuna hilux alikuwa anaomba kupita namimi nilikuwa nyuma yake sasa ameomba jamaa wa mbele kamkazia mimi nilivyochungulia nikasema ngoja nimtie hasira nikamkata nikarudi kwenye mwendo wa kawaida nikaona jamaa akaona nimemdharau akanila kichwa nikamkuta nane nane πππ.Kana mbio lakini
Ila utokage huko uje kwenye Benz ya kijapan Toyota crown hutajuta barabarani hata akina lc 200 unawapiga bakora tu na machine imetuliaYeah inachanganya fasta sana tho inategemea na dere yukoje kikubwa stability ipo na comfort kiasi chake ipo sio to the maximum kama wakina benz wagon hapana ππ yaani haichoshi na imetulia barabarani kuna sehemu ihumwa kuna hilux alikuwa anaomba kupita namimi nilikuwa nyuma yake sasa ameomba jamaa wa mbele kamkazia mimi nilivyochungulia nikasema ngoja nimtie hasira nikamkata nikarudi kwenye mwendo wa kawaida nikaona jamaa akaona nimemdharau akanila kichwa nikamkuta nane nane πππ.
Bado boss wangu nina mambo mengi ya kujiweka sawa hapa hapa pananitosha kwanza kuinunua ni bei rahisi kuliko hata hii niliyo nayo ishu ni kuifanya itambe mjini ndiyo kipengere unaweza jikuta unatembea huku unaongea mwenyeweπ.Ila utokage huko uje kwenye Benz ya kijapan Toyota crown hutajuta barabarani hata akina lc 200 unawapiga bakora tu na machine imetulia
Woote wachumba,nina VW Golf mnyama 260 cc 1400,kila weekend Dodoma dar,hao kina crown ,Hilux wananichukiaga mashine minazo kula sahani moja ni Ford na ndugu zake wa hitler.karibuni huku jamani nikutamuIla utokage huko uje kwenye Benz ya kijapan Toyota crown hutajuta barabarani hata akina lc 200 unawapiga bakora tu na machine imetulia
Vijana wenye crown wanaona maisha wameyapatiaJuzi natoka dar nakuja Dom pale kabla ya Mbande kuna mabishoo na crown zao wanasubiriwa ligi ,hahahaha nilicho wafanya hawato sahau ,jamaa na crown lake anauma meno tu
Wahuni hao,gari ina cc2500 unapanda pekeyako,kwa root ya dar Dom mafuta yake ni bora upande basi tu kuliko hilo dudeVijana wenye crown wanaona maisha wameyapatia
Kila Nissan wakitoa gari lazima watoe boko tu Nissan xtrail , Nissa Murano , Nissan dualis zote zimeonekana Ni gar za hvyoHabari za asubuhi wakuu!
Nimejaribu kupitapita kwenye mitandao ya kijamii nikitafuta gari used kwa mtu angalau na mie nipate usafiri hapa mjini.
Nimeona madalali wanapost gari hizi kwa bei ya kutupa, ukizingatia ni SUV na specific sawa na gari kama harrier na Kruger lakini nashangaa kukuta no.D iliyosimama inauzwa mil.6[emoji15]
Au shida ni upatikanaji wa spare?
Sio kwamba sisi watumiaji ndio hatujui kuyatumia? Maana kuna watu wanayo na huoni wakilalamika zaidi ya kupiga service ya maana basKila Nissan wakitoa gari lazima watoe boko tu Nissan xtrail , Nissa Murano , Nissan dualis zote zimeonekana Ni gar za hvyo
Kwani dodoma dar si full tank moja tu inaendaWahuni hao,gari ina cc2500 unapanda pekeyako,kwa root ya dar Dom mafuta yake ni bora upande basi tu kuliko hilo dude
Ambayo ni lita ngapi?? Nilijaribu kumuelewesha jamaa,crown ni takataka mbele ja mjerumani,nikamapa mfano hai kabisa VW polo Vivo,,jiko ni 1400 tu,ila unapata radha na unafuu wa mafuta kuliko crown,ukitoka dar to dom,hakuna gari ya kukutisha kabisa sasa unataka nini.Kwani dodoma dar si full tank moja tu inaenda
Jemedaree eti ni kweli bossππVijana wenye crown wanaona maisha wameyapatia
2500 hiyo mbona unapata 12km per liter au wewe unaendeshajeAmbayo ni lita ngapi?? Nilijaribu kumuelewesha jamaa,crown ni takataka mbele ja mjerumani,nikamapa mfano hai kabisa VW polo Vivo,,jiko ni 1400 tu,ila unapata radha na unafuu wa mafuta kuliko crown,ukitoka dar to dom,hakuna gari ya kukutisha kabisa sasa unataka nini.
Huyo atakua salio chache ndo maana anaona kiwese kinasumbua.2500 hiyo mbona unapata 12km per liter au wewe unaendeshaje
Woote wachumba,nina VW Golf mnyama 260 cc 1400,kila weekend Dodoma dar,hao kina crown ,Hilux wananichukiaga mashine minazo kula sahani moja ni Ford na ndugu zake wa hitler.karibuni huku jamani nikutamu
Bosi hizo gari tunazipenda, changamoto ni Spea na gharama katika kuzihudumia.
Maaana hizo gari haziingiliana na spea za Toyota. Labda ukitupa mchanganuo wa gharama za maintanace, spea zake zinapatikana wapi Tz? Na je ukizikosa Hapa Bongo ni wapi unazipata, mafundu wazuri wa haya magari ni wapi wanapatika ? Maana mafundi wengi bongo wamezizoe gari za Toyota kwa sehemu kubwa. Kama utatupa majibu hayo, hapo unaweza kutushawishi.
Aise naikubali sana ...ntaanza nayo life hyo nikipata michuzi mingi naruka na crown athlete
Jemedaree eti ni kweli boss[emoji3][emoji3]
naam.Karibu sana tena chukua G-Package
Mi na enjoy tu hii gari imenipa kila kitu nlichotaka[emoji28]