Hivi kwanini gari aina ya Nissan Murano zinauzwa bei ya kutupwa?

Hivi kwanini gari aina ya Nissan Murano zinauzwa bei ya kutupwa?

Watanzania washamba sana ukiwa huna pesa kelele mingi sana, gari ni pesa mara muonekano mara nyoko, Nunua gari tumia pesa Murano hazina shida miaka ya 2012-13-14 watu wakiongea shit sana kuhusu Raum Leo Yako wapi, tumieni pesa, Kila siku mnashinda bar na lodge na mademu uoga wa kishamba
hata mimi sikujua Raum ni gari nzuri, sasa ninaielewa


YESU NI BWANA NA MWOKOZI
 
Watanzania washamba sana ukiwa huna pesa kelele mingi sana, gari ni pesa mara muonekano mara nyoko, Nunua gari tumia pesa Murano hazina shida miaka ya 2012-13-14 watu wakiongea shit sana kuhusu Raum Leo Yako wapi, tumieni pesa, Kila siku mnashinda bar na lodge na mademu uoga wa kishamba
Sawa kaka
 
Murano ina vizazi vingi sasa sijui unaongelea kizazi gani?
Kizazi cha mwisho 2007 kuna tatizo la gea box ni vizuri kuchukua ya kuanzia mwaka 2010 na kuendelea
 
Habari za asubuhi wakuu!
Nimejaribu kupitapita kwenye mitandao ya kijamii nikitafuta gari used kwa mtu angalau na mie nipate usafiri hapa mjini.
Nimeona madalali wanapost gari hizi kwa bei ya kutupa, ukizingatia ni SUV na specific sawa na gari kama harrier na Kruger lakini nashangaa kukuta no.D iliyosimama inauzwa mil.6[emoji15]
Au shida ni upatikanaji wa spare?
Pichisha basi tuone muranonsky?
 
Back
Top Bottom