Hivi kwanini Hayati Magufuli aliamua tu kuwa katili bila sababu zozote?

Hivi kwanini Hayati Magufuli aliamua tu kuwa katili bila sababu zozote?

blogger

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2012
Posts
12,112
Reaction score
15,060
Mafuriko ya Mbeya Rais Samia ametoa msaada wote wa kibinadamu.

Serikali imeweka full attention kusaidia wahanga. Nimefarijika sana.

Sasa nikakumbuka lile tetemeko la Kagera.. Magufuli alivyo wakashifu wahanga na kutosaidia chochote.. akasema 'kwani mimi ndo nimeleta tetemeko, fanyeni kazi...' na blabla kibaoo.

Sasa natafakari hapa ni kwanini Magufuli aliamua tu kuwa katili na kuweka ubinadamu pembeni kabisa. Why?

 
Wakazi wa kijiji cha Kipwa waliongiliwa na maji ya Ziwa Tanganyika wana ushuhuda mzito jinsi Mama Samia alivyowatendea wema. Kile kijiji hakikuwa hata na barabara ya kufika huko ila mama akawajengea.

Na baada ya ile disaster mama aliwajengea zahanati mpya na shule huku wanakijiji wakipewa viwanja bure kujenga makazi mapya. Ni kawaida sana kwa mama Samia kutenda matendo haya ya kibinadamu.
 
HAKUA MKATILI ALIKUA ANATUFUBDISHA KUPAMBANA NA CHANGAMOTO ZAKE HAIJALISHI NI KUBWA KIASI GANI

Kufundisha nini? Serikali ina mfuko wa dharura chini ya waziri mkuu. Watu wamepata tetemeko baadala ya kutoa msaada unaanza kuwashushua mara hakuna chakula cha bure mara sikuleta tetemeko.

Yani Kenyatta Rais wa Kenya katoa misaada. Hadi Lowassa alitoa misaada. Rais wa nchi anatoa kebehi. Very foolish.
 
Back
Top Bottom