Hivi kwanini Hayati Magufuli aliamua tu kuwa katili bila sababu zozote?

Hivi kwanini Hayati Magufuli aliamua tu kuwa katili bila sababu zozote?

Mafuriko ya Mbeya Rais Samia ametoa msaada wote wa kibinadamu.

Serikali imeweka full attention kusaidia wahanga. Nimefarijika sana.

Sasa nikakumbuka lile tetemeko la Kagera.. Magufuli alivyo wakashifu wahanga na kutosaidia chochote.. akasema 'kwani mimi ndo nimeleta tetemeko, fanyeni kazi...' na blabla kibaoo.

Sasa natafakari hapa ni kwanini Magufuli aliamua tu kuwa katili na kuweka ubinadamu pembeni kabisa. Why?


Kumbuka hata michango yetu tuliyowachangia ndugu zetu nayo aliiteka
 
Mafuriko ya Mbeya Rais Samia ametoa msaada wote wa kibinadamu.

Serikali imeweka full attention kusaidia wahanga. Nimefarijika sana.

Sasa nikakumbuka lile tetemeko la Kagera.. Magufuli alivyo wakashifu wahanga na kutosaidia chochote.. akasema 'kwani mimi ndo nimeleta tetemeko, fanyeni kazi...' na blabla kibaoo.

Sasa natafakari hapa ni kwanini Magufuli aliamua tu kuwa katili na kuweka ubinadamu pembeni kabisa. Why?


Badala ya kukoncentrate kuelezea mafuriko na huo msaada wewe unaelekeza nguvu zako kumjadili marehemu
 
Mafuriko ya Mbeya Rais Samia ametoa msaada wote wa kibinadamu.

Serikali imeweka full attention kusaidia wahanga. Nimefarijika sana.

Sasa nikakumbuka lile tetemeko la Kagera.. Magufuli alivyo wakashifu wahanga na kutosaidia chochote.. akasema 'kwani mimi ndo nimeleta tetemeko, fanyeni kazi...' na blabla kibaoo.

Sasa natafakari hapa ni kwanini Magufuli aliamua tu kuwa katili na kuweka ubinadamu pembeni kabisa. Why?


Nafikiri alishapata malipo ya ukatili wake au vp?
 
Mafuriko ya Mbeya Rais Samia ametoa msaada wote wa kibinadamu.

Serikali imeweka full attention kusaidia wahanga. Nimefarijika sana.

Sasa nikakumbuka lile tetemeko la Kagera.. Magufuli alivyo wakashifu wahanga na kutosaidia chochote.. akasema 'kwani mimi ndo nimeleta tetemeko, fanyeni kazi...' na blabla kibaoo.

Sasa natafakari hapa ni kwanini Magufuli aliamua tu kuwa katili na kuweka ubinadamu pembeni kabisa. Why?


Hakuwa na akili sawasawa.
 
Ila katika mambanga makali ya Marehemu, lile la Kagera lilikuwa kubwa sana. Alikosea mno na akavumiliwa, lakini alikuja kufanya mbanga jingine kubwa zaidi miezi michache kabla hajafariki, mbanga ambalo lilitikisa mno nchi hii hadi kufanya wenzake washindwe kumvumilia hadi wakavunja utamaduni uliokuwepo tangu nchi hii kupata uhuru...

Lakini pia, kusema marehemu alikuwa amejaa mabaya tu, nadhani ni kukosa uungwana. Kuna mazuri na makubwa aliifanyia Tanzania, japo kuna wengine bado hawataki kukubali. Nadhani muda ndiyo utasema kweli.

Yote tisa, tumefika hapa tulipo kwasababu kuna mahesabu mazito ambayo marehemu na mitume wake walikosea kuyahesabu vizuri. Walikata mti waliokuwa wameukalia. Namuombea sana Raisi Samia na yeye asiige kutaka kukata mti anaoukalia, hata kama anadhani unamkwamisha kwenye baadhi ya mipango yake ya baadaye...
Magufuli alikuwa mshenzi tu bana, mazuri gani alifanya? Mtu ambaye anasema nitawafanya matajiri waishi kama mashetani anaweza akawa na zuri?

Ningemuelewa kama angesema "Nitawafanya maskini waishi kama matajiri"

Hivi kweli inaingia akilini Magufuli anaiba mpaka uchaguzi wa Serikali za mitaa? Kweli hayo ndiyo mazuri? Acheni mzaha, yule ilikuwa lazima aage dunia tu kwa uovu wake
 
Mafuriko ya Mbeya Rais Samia ametoa msaada wote wa kibinadamu.

Serikali imeweka full attention kusaidia wahanga. Nimefarijika sana.

Sasa nikakumbuka lile tetemeko la Kagera.. Magufuli alivyo wakashifu wahanga na kutosaidia chochote.. akasema 'kwani mimi ndo nimeleta tetemeko, fanyeni kazi...' na blabla kibaoo.

Sasa natafakari hapa ni kwanini Magufuli aliamua tu kuwa katili na kuweka ubinadamu pembeni kabisa. Why?


Kwa hiyo umegundua kumshambulia Magufuli na kumsifu Mama kuna fursa sikiliza we mpumbavu fanya ujasiriamali achana na huu usiokuwa na uhakika.
 
Umeelewa mada lakini? Kwanini watu wamechanga pesa kwa ajili ya waliopata changamoto iliyotokea nje ya uwezo wao lakini pesa zilizochangwa akala na kashfa akawamwagia, ukizingatia yeye ni chief comforter?
Kwani pesa ilienda wapi? Hujaona huduma za kijamii zikiimalika.?

Miundombinu ililekebishwa mara Moja.
 
Mafuriko ya Mbeya Rais Samia ametoa msaada wote wa kibinadamu.

Serikali imeweka full attention kusaidia wahanga. Nimefarijika sana.

Sasa nikakumbuka lile tetemeko la Kagera.. Magufuli alivyo wakashifu wahanga na kutosaidia chochote.. akasema 'kwani mimi ndo nimeleta tetemeko, fanyeni kazi...' na blabla kibaoo.

Sasa natafakari hapa ni kwanini Magufuli aliamua tu kuwa katili na kuweka ubinadamu pembeni kabisa. Why?



He was demonized right from the day he was born.
 
Mafuriko ya Mbeya Rais Samia ametoa msaada wote wa kibinadamu.

Serikali imeweka full attention kusaidia wahanga. Nimefarijika sana.

Sasa nikakumbuka lile tetemeko la Kagera.. Magufuli alivyo wakashifu wahanga na kutosaidia chochote.. akasema 'kwani mimi ndo nimeleta tetemeko, fanyeni kazi...' na blabla kibaoo.

Sasa natafakari hapa ni kwanini Magufuli aliamua tu kuwa katili na kuweka ubinadamu pembeni kabisa. Why?


Kakuachia shahawa ambayo imeshapata yai ndani yako ndio maana humsahau...
 
Mafuriko ya Mbeya Rais Samia ametoa msaada wote wa kibinadamu.

Serikali imeweka full attention kusaidia wahanga. Nimefarijika sana.

Sasa nikakumbuka lile tetemeko la Kagera.. Magufuli alivyo wakashifu wahanga na kutosaidia chochote.. akasema 'kwani mimi ndo nimeleta tetemeko, fanyeni kazi...' na blabla kibaoo.

Sasa natafakari hapa ni kwanini Magufuli aliamua tu kuwa katili na kuweka ubinadamu pembeni kabisa. Why?

View attachment 2478896
Ukatili ulitokea kwa sababu kuu kuwa mkoa ule serikali kwa ujumla huwa haiupendi kabisaa kutonana na kukaliwa watu wabishi. Mkoa umekumbwa majanga mengi sana nadhani ndio unaongoza kwa majanga. Tangu kuwepo kwa marumbano ya kisiasa toka enzi za Nyerere mkoa huu ulichukiwa kila mtu. Angalau kwa sasa kuna mabadiriko sana. Watu wameforciwa kupenda wahaya kwa sababu hawabadiriki na hamna jinsi ya kuwabadiri. Fursa za ajira nchini zilivyofinywa wahaya wakatafutiana wengi kazi ulaya. Kwa sasa serikali na watakwimu wao wa kiswahili wanapiga promo kwamba kagera ndio ya mwisho kwa watu wenye kipato cha chini. Wao wanasema sawa tu tuendelee. Maendeleo ya kule ni kimya kimya wakija kushutuka imepaa mara dufu.
 
Back
Top Bottom