Misukule yake mnajua sana kujipa moyo. Mungu ni mwema sana aisee, yaani Watanzania tunaomba hata huko aliko afe tenaMungu anazidi kumuinua Magufuli hata akiwa katika hali ya umauti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Misukule yake mnajua sana kujipa moyo. Mungu ni mwema sana aisee, yaani Watanzania tunaomba hata huko aliko afe tenaMungu anazidi kumuinua Magufuli hata akiwa katika hali ya umauti.
Hakuna kiongozi wa hovyo kuwahi kutokea kama Jiwe, Mungu ni mwema na msikivu kwani alituondolea hilo dubwana bila damu kumwagikaTena Tanzania inatakiwa aje kiongozi mkali kama Hitler au zaidi yake
Ova
Mkuu kwanini huwa unapenda sana mambo ya kubakwa bakwa? Uliwahi kubakwa huko utotoni?Alikufanyia ukatili gani? Alikubaka au?
Mkuu ukiwa muovu hata ipite miaka 100 lazima utatajwa tu kama reference. Jiwe atatajwa miaka na miaka ili kila kizazi kujue kuwa tusije pata tena Rais from Sukuma gangMwamba ikipita siku hajaandikwa walamba asali haishuki tumboni.
Mwamba alikuwa anataka watu waendelee kupambana na kuchapa kazi.
Wavivu wakaona siasa ipite na hadi sasa kila wanachofanya wanataka kujilinganisha na mwamba.
Bado sanaaa.. 2025 ukiutaka urais lazima utaji jina la mwamba ndipo upate kura.
Kama ndiyo hivi, nawahakikishia Hayati Magufuli ataendelea kutrend kwa muda mrefu sana, maana haipiti siku bila kuanzishiwa post mpya!
Umekosa hoja wewe, mara mimba mara kupumuliwa, huwezi andika bila matusi? Watu wanaelezea maovu ya Jiwe wewe unaleta matusi, kama kwako alifanya mazuri basi yaandike. Kifupi Watanzania wengi wenye akili timamu wanamwona alikuwa mwovu kupindukiaTaahi.ra nyie hiyo mimba ya JPM inawatesa sana, inaonesha aliiba akamuhonga mama yako, ingieni field kwenye majukwaa mumdhihaki hivi muone kitakachowapa na sio mnajificha JF na multiple accounts zenu mapumliwa visogoni nyie.
Jk alisemwa sana kipindi Cha JPM ila sikuona mkidai ni chuki au kwamba anamtesa akili JPM. ni kawaida hata akija Rais mwingine 2030 Mama Samia atasemwa sana kama JPM ndio siasa za Afrika zilivyo.Mwamba ikipita siku hajaandikwa walamba asali haishuki tumboni.
Mwamba alikuwa anataka watu waendelee kupambana na kuchapa kazi.
Wavivu wakaona siasa ipite na hadi sasa kila wanachofanya wanataka kujilinganisha na mwamba.
Bado sanaaa.. 2025 ukiutaka urais lazima utaji jina la mwamba ndipo upate kura.
Sukuma gang on the moveCapitalism Vs Socialism
Mmezoea vya bure, fanya kazi
Ati hizi kama pesa za Mama Samia, hizi ni pesa zako
Hivi mnaposema bila damu kumwagika mna maana gani? Kungekuwa na wa kumwaga damu basi ingemwagwa siku nyingi maana kilio cha miaka yote ni ccm kutoka madarakani ila tumebaki kujiambia kuwa watanzania ni waoga.Hakuna kiongozi wa hovyo kuwahi kutokea kama Jiwe, Mungu ni mwema na msikivu kwani alituondolea hilo dubwana bila damu kumwagika
Siyo siku, hii itachukua miaka na miaka Watanzania kusahau maovu yake. Jamaa alikuwa muovu kupindukiaKama ndiyo hivi, nawahakikishia Hayati Magufuli ataendelea kutrend kwa muda mrefu sana, maana haipiti siku bila kuanzishiwa post mpya!
Mara ngapi mama kamkosoa jiwe jukwaani uliona akipigwa mawe? Lissu kwenye kampeni alimkaanga sana JPM mpaka Chato ila sikuona akifanyiwa vurugu na wananchi zaidi ya Polisi wenyewe. waTanzania ni waelewa na wanajua ukweli na uongo uko wapi.Taahi.ra nyie hiyo mimba ya JPM inawatesa sana, inaonesha aliiba akamuhonga mama yako, ingieni field kwenye majukwaa mumdhihaki hivi muone kitakachowapa na sio mnajificha JF na multiple accounts zenu mapumliwa visogoni nyie.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hayo ni matamshi tu, ila kiukweli ukiduatilia alitoa misaada vzr na alikarabat majengo yaliyopata madhara
Jiwe aliamini sana ushirikina kuliko science, mpaka Corona ikapita nayeUnaambiwa màgufool alikuwa anakaa na nyungo & fisi ikulu
Watanzania wanauelewa gani mkuu? Yapi yenye kuonyesha watanzania wana uelewa?Mara ngapi mama kamkosoa jiwe jukwaani uliona akipigwa mawe? Lissu kwenye kampeni alimkaanga sana JPM mpaka Chato ila sikuona akifanyiwa vurugu na wananchi zaidi ya Polisi wenyewe. waTanzania ni waelewa na wanajua ukweli na uongo uko wapi.
Wakazi wa kijiji cha Kipwa waliongiliwa na maji ya Ziwa Tanganyika wana ushuhuda mzito jinsi Mama Samia alivyowatendea wema. Kile kijiji hakikuwa hata na barabara ya kufika huko ila mama akawajengea.
Na baada ya ile disaster mama aliwajengea zahanati mpya na shule huku wanakijiji wakipewa viwanja bure kujenga makazi mapya. Ni kawaida sana kwa mama Samia kutenda matendo haya ya kibinadamu.
Hivi kweli Sukuma gang wote hamna hoja ila ni matusi tu [emoji848][emoji848]Kakuachia shahawa ambayo imeshapata yai ndani yako ndio maana humsahau...
WaTanzania ni waelewa ukweli na uongo bila ku force hisia zao kuonekana. Kiufupi Wana uvumilivu wa hoja kinzani sio kama Kenya au Uganda. Ndio maana huku unaweza kwenda Butiama na kumkosoa Nyerere wasikufanye kitu ila kule Kenya Kuna mikoa ukifika kama Kiambu ukimkosoa Mzee Jomo Kenyatta unaweza kuuawa.Watanzania wanauelewa gani mkuu? Yapi yenye kuonyesha watanzania wana uelewa?
Namaanisha kuwa uvumilivu wa maovu ya Jiwe ungefika ukingoni haraka sana kuliko uvumilivu wa maovu ya ccm. Rais kuua raia wako unadhani Watanzania wamgevumilia mpaka lini?Hivi mnaposema bila damu kumwagika mna maana gani? Kungekuwa na wa kumwaga damu basi ingemwagwa siku nyingi maana kilio cha miaka yote ni ccm kutoka madarakani ila tumebaki kujiambia kuwa watanzania ni waoga.
Sasa tukisema Magufuli katoka bila kumwagika damu inakuwa kama kuna hao wa kumwaga damu nchi hii au kulikuwa na uelekeo wa damu kumwagika wakati hadi leo hakuna hata dalili ya kutokwa vinundu tu kwa kuitoa ccm madarakani.
Akili kubwa sana hiiJk alisemwa sana kipindi Cha JPM ila sikuona mkidai ni chuki au kwamba anamtesa akili JPM. ni kawaida hata akija Rais mwingine 2030 Mama Samia atasemwa sana kama JPM ndio siasa za Afrika zilivyo.
Kingine 2025 wagombea ni wawili tu so far na both Samia and Lissu ni anti JPM hawahitaji kumtaja JPM maana hawa compete naye Bali kati Yao so Samia anaeleza alichofanya huku LISSU akieleza madhaifu yaliyopo..... Sasa hapo JPM atajwe wa Nini? Kwani ni mgombea?