Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Misukule wake lazima watakuwa wanatukana ile mbaya wakiona tunavyobadilishana maandiko yetu.😜😜😜😜😜Yuko jehanam tu. Mbingu hawezi kuiona maana mikono yake imetapakaa damu
Ndo maana hakuna kazi ngumu kama kuhudumia jamii ambayo kila mwanajamii ana akili yake chiefHapana! Why!?
Mafuriko ya Mbeya Rais Samia ametoa msaada wote wa kibinadamu.
Serikali imeweka full attention kusaidia wahanga. Nimefarijika sana.
Sasa nikakumbuka lile tetemeko la Kagera.. Magufuli alivyo wakashifu wahanga na kutosaidia chochote.. akasema 'kwani mimi ndo nimeleta tetemeko, fanyeni kazi...' na blabla kibaoo.
Sasa natafakari hapa ni kwanini Magufuli aliamua tu kuwa katili na kuweka ubinadamu pembeni kabisa. Why?
Mzee wa voice from within
INAWEZEKANA KUNA KITU ALIMFANYIA MZAZI WAKE WA KIKE!!Alikufanyia ukatili gani? Alikubaka au?
Umeelewa mada lakini? Kwanini watu wamechanga pesa kwa ajili ya waliopata changamoto iliyotokea nje ya uwezo wao lakini pesa zilizochangwa akala na kashfa akawamwagia, ukizingatia yeye ni chief comforter?Mwamba ikipita siku hajaandikwa walamba asali haishuki tumboni.
Mwamba alikuwa anataka watu waendelee kupambana na kuchapa kazi.
Wavivu wakaona siasa ipite na hadi sasa kila wanachofanya wanataka kujilinganisha na mwamba.
Bado sanaaa.. 2025 ukiutaka urais lazima utaji jina la mwamba ndipo upate kura.
Ukirejea kusomasoma tena uzi bila kujichukiza,anayeelezewa ni jiwe.Rudia ujihakikishie mwenyewe.Madhaifu na makosa ya Magufuli tusifanye kuwa ndio kipimo cha ubora wa Samia, mfano tizama jambo la kuruhusu mikutano ya kisiasa lilikuwa jambo dogo tu ambalo Samia angelifanya toka mwanzoni huko alipochukua madaraka ila likazungushwa likaonekana ni jambo zito sana na sasa tunamuona Samia kafanya jambo kubwa sana kwenye uongozi wake. Ukiangalia huu uzi nao ndio vilevile kwa sababu Magufuli alifanya vile ila yeye Samia kafanya hivi basi tena tunalifanya hilo jambo kuwa kubwa kabisa la kipekee.
Hii nchi ukiwa serious utajitesa tu.
Taahi.ra nyie hiyo mimba ya JPM inawatesa sana, inaonesha aliiba akamuhonga mama yako, ingieni field kwenye majukwaa mumdhihaki hivi muone kitakachowapa na sio mnajificha JF na multiple accounts zenu mapumliwa visogoni nyie.Changamoto ya kuiba 1.5 Trillions? Wa
Yuko wapi sasa na hizo trillions alizokwapua?
Punguza usukuma weye!Kwani kila unayejibizana naye unadhani tu atakuwa na jinsi kubeba mimba kama aliyekuzaa?Kuwa mvumilivu upigwe psychosis destructions hadi uombe michembe ubugie.Taahi.ra nyie hiyo mimba ya JPM inawatesa sana, inaonesha aliiba akamuhonga mama yako, ingieni field kwenye majukwaa mumdhihaki hivi muone kitakachowapa na sio mnajificha JF na multiple accounts zenu mapumliwa visogoni nyie.
Mafuriko ya Mbeya Rais Samia ametoa msaada wote wa kibinadamu.
Serikali imeweka full attention kusaidia wahanga. Nimefarijika sana.
Sasa nikakumbuka lile tetemeko la Kagera.. Magufuli alivyo wakashifu wahanga na kutosaidia chochote.. akasema 'kwani mimi ndo nimeleta tetemeko, fanyeni kazi...' na blabla kibaoo.
Sasa natafakari hapa ni kwanini Magufuli aliamua tu kuwa katili na kuweka ubinadamu pembeni kabisa. Why?