Sio kwamba aliamua bali ni tabia na hulka yakeMafuriko ya Mbeya Rais Samia ametoa msaada wote wa kibinadamu...
HAKUA MKATILI ALIKUA ANATUFUBDISHA KUPAMBANA NA CHANGAMOTO ZETU HAIJALISHI NI KUBWA KIASI GANIHe was a disgrace yani rais mzima unaiba rambirambi bila hata aibu.
Yuko wapi sasa?!
Changamoto ya kuiba 1.5 Trillions? WaHAKUA MKATILI ALIKUA ANATUFUBDISHA KUPAMBANA NA CHANGAMOTO ZAKE HAIJALISHI NI KUBWA KIASI GANI
Mkuu ushawahi kufanya kazi ya customer careMafuriko ya Mbeya Rais Samia ametoa msaada wote wa kibinadamu.
Serikali imeweka full attention kusaidia wahanga. Nimefarijika sana...
Mafuriko ya Mbeya Rais Samia ametoa msaada wote wa kibinadamu.
Serikali imeweka full attention kusaidia wahanga. Nimefarijika sana...
HAKUA MKATILI ALIKUA ANATUFUBDISHA KUPAMBANA NA CHANGAMOTO ZAKE HAIJALISHI NI KUBWA KIASI GANI
Nashauri Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amaniSasa nikakumbuka lile tetemeko la Kagera.. Magufuli alivyo wakashifu wahanga na kutosaidia chochote.. akasema 'kwani mimi ndo nimeleta tetemeko, fanyeni kazi...' na blabla kibaoo.
Sasa natafakari hapa ni kwanini Magufuli aliamua tu kuwa katili na kuweka ubinadamu pembeni kabisa.