Hivi kwanini Kenya ipo hivi?

Hivi kwanini Kenya ipo hivi?

Acha kukariri ujinga. Ngoja nikuelimishe kidogo. USA counties sio 52, hizo ni states. Kuna tofauti kubwa kati ya counties na states. Kenya ni state kama k.m. California ambayo ina county 58!
California-River-Map-County-Map-Of-California-State-California-River-Map-California-State-Map-With-Counties.jpg
Alafu naona umesema GDP ya Kenya ni $70Billion ilhali unajua vizuri kwamba Kenya ilishafikia $99Billion na hata hiyo $70B Tz bado. Ila sijaelewa mbona umetumia GDP wakati kwenye ule uzi wa GDP ulisema kwamba GDP haimaanishi chochote. [emoji1]
Sikiliza wewe, aina ya uongozi wa counties za Kenya ulivyo, ni sawa na kabisa na uongozi wa states za USA.
1) USA ina Federal Government chini ya Trump. Kenya Central government chini ya Uhuru
2)USA wana states zikiongozwa na Governors, na Bunge la states zikiongozwa na Senators, Kenya inatumia neno counties zikiongozwa na Governors na mabunge yakiongozwa na Senators.

Yaani nchi zote zinatumia mfumo wa serikali mbili, Serikali kuu na serikali za majimbo. Onyesha ni counties zipi za USA chini ya States zenye serikali kamili zinazochaguliwa na wananchi wakati wa uchaguzi MKUU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kukariri ujinga. Ngoja nikuelimishe kidogo. USA counties sio 52, hizo ni states. Kuna tofauti kubwa kati ya counties na states. Kenya ni state kama k.m. California ambayo ina county 58!
California-River-Map-County-Map-Of-California-State-California-River-Map-California-State-Map-With-Counties.jpg
Alafu naona umesema GDP ya Kenya ni $70Billion ilhali unajua vizuri kwamba Kenya ilishafikia $99Billion na hata hiyo $70B Tz bado. Ila sijaelewa mbona umetumia GDP wakati kwenye ule uzi wa GDP ulisema kwamba GDP haimaanishi chochote. [emoji1]
Kenya- 47 County (Gorvernor incharge)
Usa - 52 State (Gov incharge)
Population usa 300m
Population kenya 45m
Hizo county unaongelea za usa ni sawa na subcounties ( wards) in kenya ambazo ni karibu 2000..
 
Bunge gani kenya inaongozwa na senators?
Sikiliza wewe, aina ya uongozi wa counties za Kenya ulivyo, ni sawa na kabisa na uongozi wa states za USA.
1) USA ina Federal Government chini ya Trump. Kenya Central government chini ya Uhuru
2)USA wana states zikiongozwa na Governors, na Bunge la states zikiongozwa na Senators, Kenya inatumia neno counties zikiongozwa na Governors na mabunge yakiongozwa na Senators.

Yaani nchi zote zinatumia mfumo wa serikali mbili, Serikali kuu na serikali za majimbo. Onyesha ni counties zipi za USA chini ya States zenye serikali kamili zinazochaguliwa na wananchi wakati wa uchaguzi MKUU.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya- 52 County (Gorvernor incharge)
Usa - 47 State (Gov incharge)
Population usa 300m
Population kenya 45m
Hizo county unaongelea za usa ni sawa na subcounties ( wards) in kenya ambazo ni karibu 2000..
Eti Kenya kuna 52 counties na USA wana 47 states? Gorvernor ndio nini tena. Aiseee, you must be an illiterate bumpkin.
 
Nairobi is not the richest county my friend.

Sent using Jamii Forums mobile app
revenue collection ya nairobi ni kiasi gani uki compare na other kaunti ? au ni kaunti gani ambayo ina revenue kubwa hapo kenya ? ...kama nairobi sio kaunti yenye revenue kubwa bac kuna UDHAIFU kwa wakusanya mapato wa iyo kaunti au bunge la kaunti ni DHAIFU ktk kubuni vyanzo vya mapato ya KAUNTI may be !! embu niambie kaunti hapo kenya zinajiendeshaje ? yaani ni nn vyanzo vyake vya mapato ? au vyenyewe vinategemea mgao toka serikali kuu ? TELL US
 
Sasa hivi Tayari mnalalamika kwamba "punda amechoka", mzigo umekua mkubwa mnataka kubadilisha tena constitution ili kupunguza matumizi ya serikali, wasomi kama Prof. Lumumba na Dr.Ndii wamesema huu mfumo haufai kwa nchi masikini kwasababu ni ghali sana, ila watu poyoyo kama ninyi mnatetea kwasababu tu serikali ni wakikuyu na Kalenjin.

Sent using Jamii Forums mobile app
very TRUE mm pia niliona interview moja PLO Lumumba akilalamikia huu mfumo wa kaunti na kimtazamo wake alisema kama lengo ni UGATUZI kama mnavyoita huko Kenya bas nuo mfumo ni GHALI...
 
You weren't talking about revenues, you were talking about wealthiness.
revenue collection ya nairobi ni kiasi gani uki compare na other kaunti ? au ni kaunti gani ambayo ina revenue kubwa hapo kenya ? ...kama nairobi sio kaunti yenye revenue kubwa bac kuna UDHAIFU kwa wakusanya mapato wa iyo kaunti au bunge la kaunti ni DHAIFU ktk kubuni vyanzo vya mapato ya KAUNTI may be !! embu niambie kaunti hapo kenya zinajiendeshaje ? yaani ni nn vyanzo vyake vya mapato ? au vyenyewe vinategemea mgao toka serikali kuu ? TELL US

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You weren't talking about revenues, you were talking about wealthiness.

Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha sasa ndugu ! ivi ukizungumzia wealth ktk level ya kiutawala wa mikoa au izo kaunti lzm uangalie makusanyo ya mapato ya ndani ya mkoa au iyo kaunti...ndio maana mfano huku tz ukitoa tu utaala wa JPM mikoa au wilaya inakuwa na vyanzo vyao vya mapato ukiachilia na gawio toka serikali kuu lkn lzm ile LGA pia iplay role ya kuleta maendeleo ktk sehemu husika mfano ujenzi wa miundombinu na e.t.c ..sasa ndio maana nikakuomba embu elezea kaunti hapo KE zinajiendeshaje
 
From today know that the wealthiest county is Kiambu.
hahaha sasa ndugu ! ivi ukizungumzia wealth ktk level ya kiutawala wa mikoa au izo kaunti lzm uangalie makusanyo ya mapato ya ndani ya mkoa au iyo kaunti...ndio maana mfano huku tz ukitoa tu utaala wa JPM mikoa au wilaya inakuwa na vyanzo vyao vya mapato ukiachilia na gawio toka serikali kuu lkn lzm ile LGA pia iplay role ya kuleta maendeleo ktk sehemu husika mfano ujenzi wa miundombinu na e.t.c ..sasa ndio maana nikakuomba embu elezea kaunti hapo KE zinajiendeshaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Because Kenya is not poor as Gangster state( Tanzania).
Wewe ndio kichaa, huwezi kutetea mfumo wenu ambao wakenya wote wanaona ni mzigo wanataka referendum ili kuufumua upya, 52% ya pato la nchi linalipa 2% ya population. Nchi gani hiyo eti hadi Governor analindwa na walinzi watano 24/7 unategemea nini?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
From today know that the wealthiest county is Kiambu.

Sent using Jamii Forums mobile app
NEXT TIME BRO ACHA URONGO alafu jua dunia ni KIJIJI everything is on our hands ..embu jaribu kusoma hii link alafu ukatafute wa kumdanganya..
 
Asante I wanted you to check and see that isn't only Nairobi.
NEXT TIME BRO ACHA URONGO alafu jua dunia ni KIJIJI everything is on our hands ..embu jaribu kusoma hii link alafu ukatafute wa kumdanganya..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante I wanted you to check and see that isn't only Nairobi.

Sent using Jamii Forums mobile app

we jamaa nina mashaka na elimu yako ... iv umesoma iyo link niliyokupatia vizuri ? embu tazama nairobi inachangia kwa % ngapi alafu uone anae mfuatia anachangia kwa % ngapi ..huge gap ... na mm hata kabla sijatafuta iyo taarifa nilihisi tu nairobi lzm inavyanzo vingi vya makusanyo ya mapato na inachangia kwa kiasi kikubwa .mfano tu wa real estate kwa nairobi ni kubwa kuliko nchi nyingi za afrika mashariki ... ss ww ukataka kuleta ukanja nja walo wa kutoroka shule ukazani humu una chat na MAZWAZWA kama unao piga nao story hapo kajiado ? weeeeeeee UTAWAAMBIAAAAA NN WATUUUUUUUUUUUUUU
 
Back
Top Bottom