Hivi kwanini klabu ya Yanga inashindwa kuheshimu logo za klabu nyingine?

Nimeweka fact wewe huna fact unaleta taarabu.
1.Nilianza kwa kukuonesha kuwa man u sasa kwenye logo yaoya 2019/2020 wana rangi nyeusi isiyokolezwa na inatambulikana international.Hukunijibu.
2.nikakuletea mfano wa hapo azam tv ambao pia logo ni ileile lakin wanabadili rangi.Hujanijibu.kwa sababu unajua ila unaweka ubishi usio na manaana kwa sababu yanga wamefanya unataka kuonesha Yanga imefanya kosa.
3.Hivi kwenye ile logo ya nike ikiwekwa rangi nyeusi haitakuwa logo ya nike(mpaka hapo iwekwe nyeupe?

Ukinijibu kwa fact utaweza kunielewa ila kama unakaza kichwa napo sawa.


Unadhani kuandika gazetini ndo utaeleweka, angalia leo kwenye page ya Yanga kuelekea game ya leo ndo tunachomaanisha..hiyo taarabu peleka kwenu[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanga rangi zinazokubalika ni njano, kijani na nyeusi, hizo nyingine marufuku, hizo logo za timu nyingine wabadilishe rangi kuendana na matakwa ya yanga.
 
Let us agree not to agree.

Kawapa mfano wa logo ya Azam jinsi inavyoweza kutoka na rangi tofauti tena wakiwa wameitoa Azam wenyewe. Sidhani kama kuna mfano au maelezo bora kuliko hayo.

Kama hili suala ni big deal, bila shaka litaingia kwenye kanuni za kuendesha ligi.

Si mara ya kwanza Vodacom kukubali Yanga ibadili rangi lakini sio logo yenyewe. Tuseme Vodacom hawajitambui? Narudia japo hulipendi kwamba viongozi wa mpira Tanzania ni watu wa Simba. Kama ni tatizo najua watalitolea maamuzi as "usual"

Kiongozi, tuachane na issues za logo. Tuendelee na masuala muhimu ya mpira. Timu au Kampuni itayoathirika kibiashara itaidai Yanga fidia na suala litaishia hapo. Huko Duniani kuna kesi kibao za matumizi ya logo.
 
Tumia akili kufikiri, kisha jenga hoja zenye mantiki, hapajasemwa jezi za Yanga zikae doa jekundu, suala ni logo za timu pinzani zinavyoboreshwa na picha tumeweka hapo

Mnakwama wapi mbona mada ipo wazi?
Hatutaki na kama mnaweza na nyie wekeni logo za wapinzani kwenye ma cover mekundu. Kama hamuwezi kausheni
 
Vile hauelewi mambo ya logo anayosemea mleta mada, hivi ulishawahi kuona chelsea amecheza na Man u[emoji22][emoji22] halafu logo ya man u , ikachalazwa blue tuu
Sisi Yanga siyo Chelsea wala Man U. Kwani ushaona Man U au Chelsea ni mbumbumbu?
 
Mkuu hatuzungumzii kubadilika kwa matokeo ya mechi, tunazungumzia kubadilisha nembo au logo ya timu zingine.
Wao wacheze mpira waifunge Yanga hayo malogo yao yakibadilika hayana madhara sana mana uhalisia wake unajulikana. Hata hivyo ukiondoa Yanga,Azam na mbumbumbu FC timu zingine hazijiendeshi kibiashara. Wacha tu tuchezee logo zao
 
Hako katimu kako hakajui masuala ya biashara kupitia nembo yake wewe umetoa wapi hayo mawazo!? Mikia a.k.a mbu×3 bwana!!
 
Kwani kipi kiliharibika baada ya hayo mabadiliko? Hata viongozi wa timu hizo hawakulalamika!
 
Ungeanza kusimama kukemea tff na marefa kuibeba simba kwanza ndo uongee hili. Siyo rangi Bali mkithubutu kuweka hata doa jekundu tu kwenye logo yetu tutawameza.
 
Anabusu nembo siyo hayo marangi yako
 
Mbumbumbu asipoelewa hapa basi mwache na umbumbu wake!
 
Katika kueleweshana tu.Bila ushabiki wala mihemuko.

1. Sehemu kuu za logo ni tatu ambazo ni Maneno, alama na rangi, rangi sio ya muhimu zaidi kuliko hivo vingine viwili
2. Si vyema kubadilibadili logo ya kampuni au taasisi (ikiwepo na rangi).
3. Logo itabadilika rangi kutegemeana na background colour ya Tangazo ili logo ionekane vizuri.
4. Ni vema(si lazima) kila kampuni ikawa na logo au nembo katika mwonekano wa rangi tofauti ili kukidhi baadhi ya situation.
5. Ni marufuku kubadili mfumo wa maandishi(Fonts) kwenye logo.Rangi tu inaweza kubadilika(ikiwa kuna ulazima).
6. Ni marufuku kubadili au kuondoa alama yoyote kwenye nembo kwani ndiyo inayotambulisha kampuni au taasisi husika.
Kitu ambacho tunaweza kujiuliza ni kuwa je,designer wa Yanga ana ulazima(kwa mtazamo wake)kubadili rangi za Nembo za wenzake?
Je, Kama rangi ya njano haiivani vizuri na baadhi ya rangi zilizoko kwenye nembo za wengine kwa nini asijaribu rangi zingine kama vile kinani n.k?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je,logo ile iliyoko kwenye jezi ya mbeya city ndo logo ya vodacom,Mbona ni nyeupe?

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu mbona unahamisha magoli, naomba tujikite kwenye logo za timu, hiyo ya mdhamini tuiache kwanza (japokua logo ni logo).
Anyways nakutakia kila la heri kwenye mechi yako ya leo dhidi ya Tanzania Prisons (japokua wanaMbeya tumewatuma vijana warudi na Pointi tatu muhimu).
 
Yanga Ina viongozi wabovu Sana na Simba Ina mashabiki wapumbavu dunia nzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…