klmanjaro
Senior Member
- Jan 30, 2020
- 131
- 148
WapuuuziAcha kutetea ujinga. Kilichofanywa na timu lenu kuanzia kuikataa logo nyekundu ya vodacom na sasa kubadili logo ya timu nyingine ni ujinga sana kwa dunia ya sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app