mwananyaso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,995
- 3,401
Unaitaka ushahidi gan zaidi,hujui huyo ni adui wa taifa?Kwa siku kadhaa sasa nikipitia humu JF naona jina la January Makamba linatajwa sana, hasa kwa mabaya. Lakini cha kushangaza watu hao wanaomsema kwa mabaya hawana ushahidi wowote...