Hivi kwanini kuna watu wakisikia jina la January Makamba wanapatwa na hofu?

Hivi kwanini kuna watu wakisikia jina la January Makamba wanapatwa na hofu?

Hivi nyie jamaa huwa mna ubongo kweli kama binadamu au mna matope?

Jamaa amewekwa pale kimkakati na kufanikisha mishe za kifisadi! Haiingii akilini eti mtu akodishe system kwa 70 billions. Hilo linatosha tu kuona msimamizi wa wizara hayupo kulinda maslahi ya Wizara.

Ndio yale yale, hela unayotafta kwa jasho huwezi kwenda kuspendi mshahara mzima kwa starehe ikiwa majukumu ni mengi yanahitaji fedha. We unaweza funga CCTV kamera za million 500 kamera 3 ilihali zipo za laki 8?

Ila hela ikiwa hutoi wewe utafunga za mil.500 kirahisi ila hela ikiwa yako huwezi kubali kufunga zaidi ya za laki 8!
Hawa ndiyo kula yao wanapewa deal wanaingia mtaani kutangaza mavi ni mkate.

Jamaa alivyoingia kimkakati kupiga atapiga hasa ila kuna wahuni wachache kila wanapoambiwa hawauoni ukweli kisa 5k za bando na supu.
 
Uongo mtupu, mara matengenezo yalikuwa hayajafanyiwa kwa muda mrefu, jana tena tunamuona anakagua mito na mabonde kuangalia maji..

Tuamini lipi sasa kati ya mitambo kutofanyiwa ukarabati ama sababu ya upungufu wa maji.?
Tena kwa chopa hizo gharama za chopa mpaka atakapoimaliza mito yote atatoa mifukoni mwake ?
 
Wewe ni sehemu ndogo sana kwenye taifa lenye watu million sitini wenye akili kama wewe au zaidi yako. Wewe endelea kupika majingu tu kuona wenzako wajinga kumbe huna lolote weka hapa plotting scheme ya kumeweka makamba kufanya ufisadi, au kulinda ufisadi. Makamba kama waziri anawajibika kwa Rais unataka kesama mkuu wa nchi ni corrupt. Take care bro Tanzania niyetu wote
Mara hii ushaanza kurusha mawe ?
 
Hawa ndiyo kula yao wanapewa deal wanaingia mtaani kutangaza mavi ni mkate.

Jamaa alivyoingia kimkakati kupiga atapiga hasa ila kuna wahuni wachache kila wanapoambiwa hawauoni ukweli kisa 5k za bando na supu.
Watu ni mapimbi wakishalipwa buku 5/5 tu za supu na bundle
 
Unataka ushahidi gani toka kwa huyo tapeli ambaye hata dada yake aliweka rehani utu wake kwa ajili yake?! anajua kucheza na maneno kuwadanganya wajinga kama wewe, hebu muulize huyo bosi wako ile winchi ya tani 26 inakuja lini?
Lete ushahidi hapa! Acha maneno
 
January yupo hapo kimkakati sana!!!Mtandao wa matajiri wana andaa mtu wao siku akichukua fomu ikulu ni yake!!!January hayupo pale kwa bahati mbaya mazee!!
 
Back
Top Bottom