cmoney
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 3,570
- 5,508
ku
kudhani kwamba hii message inamhusu makamba ndo unapokosea..ushasikia kitu kinaitwa syndicate?Unachosema unaweza kuwa sahihi kuliko mimi lakini bro nataka ujue kuwa nishati ndio roho ya nchi na wala hili sio suala binafsi la makamba ila ni Nchi nzima. Nachelewa kuamini pingine unaitaji neema ya Mungu kuamini kuwa mchawi wa wizara nimakamba, kama Kuna hujuma zimefanyika kufitini uzalishaji wa umeme nchini anaewajibika ni Rais ambaye ndio mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama pamoja na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama ambao niwajumbe. Hili suala kaka sio issue binafsi ya makamba linagusa mamlaka zote za ulinzi nchi na taasisi mkuu. Kumbuka mtendaji mkuu wa wizara by professional ni katibu mkuu. Kuna mengi ya kujiuliza tusimbebeshi zigo la mavi makamba peke yake