Hivi kwanini kuna watu wakisikia jina la January Makamba wanapatwa na hofu?

Hivi kwanini kuna watu wakisikia jina la January Makamba wanapatwa na hofu?

Usiishi kwa kuwanyoshea watu vidole sio njia sahihi ya kujenga, nchi yetu nikubwa sana kuliko unavyojua wewe. Tanzania tunaishi na mawazo ya kupenda kuhudumiwa kila kitu inafanya serikalii hivyo ni vema kila mtanzania mzalendo ajisikie fahari kulichangia taifa lake. Kama kuna flauding kuna mamlaka zinawajibika pia wananchi wanapaswa kuwauliza viongozi wao kama madiwani, wabunge wao kupata mrejesho. Kuwa matured kujenga hoja, kutoa maoni, kuelimisha au kuleta ripoti ya utafiti kutoka kwenye vyanzo vinavyoaminika
Kuchangia sio tatizo! Tupeni mpango kazi na kuwe na transprency kinachoingia kila siku ni kiasi gani na kinatumikaje mwisho wa siku!

Mbona kwenye harusi hela zinachangwa na mwisho zinatumika kama ilivyoainishwa kwenye pdf?
 
Kwa siku kadhaa sasa nikipitia humu JF naona jina la January Makamba linatajwa sana, hasa kwa mabaya. Lakini cha kushangaza watu hao wanaomsema kwa mabaya hawana ushahidi wowote.

Kitu kingine ambacho sikielewi ni kwamba huyu kijana amekuwa waziri kwa takribani miezi mitatu sasa lakini watu wanataka mambo yabadilike ki miujiza bila ya kumpa nafasi ya kuleta mabadiliko.

Hii inapelekea mimi kujiuliza, hivi hawa watu ni kweli wanachukia utendaji wake au kuna jingine?
Tatizo nyota....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi nyie jamaa huwa mna ubongo kweli kama binadamu au mna matope?

Jamaa amewekwa pale kimkakati na kufanikisha mishe za kifisadi! Haiingii akilini eti mtu akodishe system kwa 70 billions. Hilo linatosha tu kuona msimamizi wa wizara hayupo kulinda maslahi ya Wizara.

Ndio yale yale, hela unayotafta kwa jasho huwezi kwenda kuspendi mshahara mzima kwa starehe ikiwa majukumu ni mengi yanahitaji fedha. We unaweza funga CCTV kamera za million 500 kamera 3 ilihali zipo za laki 8?

Ila hela ikiwa hutoi wewe utafunga za mil.500 kirahisi ila hela ikiwa yako huwezi kubali kufunga zaidi ya za laki 8!
Kama CAG alivyotolewa mkuku kwa kuhoji 1.5 T , [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Maisha yanakasi sana , kuweni watulivu mwacheni kijana apige kazi. Nasema uwongo ndugu zangu..
 
Kama CAG alivyotolewa mkuku kwa kuhoji 1.5 T , [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Maisha yanakasi sana , kuweni watulivu mwacheni kijana apige kazi. Nasema uwongo ndugu zangu..
Hahahahahahah alikanyaga waya wa live😅 kikaumana!

Iba ila hakikisha raia hawanung’uniki yani! Ndicho alichofanya JPM ila ukiingia anga zake anakushaya.
 
Kuchangia sio tatizo! Tupeni mpango kazi na kuwe na transprency kinachoingia kila siku ni kiasi gani na kinatumikaje mwisho wa siku!

Mbona kwenye harusi hela zinachangwa na mwisho zinatumika kama ilivyoainishwa kwenye pdf?
Transparency is virtue, mimi sio mnafiki nasema ukweli nchi yetu haina mazingira mazuri ya uwazi hilo ni tatizo hawa kwenye matumizi ya fedha za umma. Tatizo brother nchi yetu ina mifumo mibaya uwajibikaji viongozi wafanya wanavyojisikia, hata vyombo vya habari ambavyo vinadumisha uwazi uhuru wao mdogo vinaiishia kujikombo tu
 
Mwamba sina imani nae tu personaly
Itabidi tu usiwe nayo kama baadhi walivyokuwa wamekosa imani na mwendazake...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] vumilia tu.
 
Kama CAG alivyotolewa mkuku kwa kuhoji 1.5 T , [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Maisha yanakasi sana , kuweni watulivu mwacheni kijana apige kazi. Nasema uwongo ndugu zangu..
CAG aligusa kwenye kidonda
 
Kwa siku kadhaa sasa nikipitia humu JF naona jina la January Makamba linatajwa sana, hasa kwa mabaya. Lakini cha kushangaza watu hao wanaomsema kwa mabaya hawana ushahidi wowote.

Kitu kingine ambacho sikielewi ni kwamba huyu kijana amekuwa waziri kwa takribani miezi mitatu sasa lakini watu wanataka mambo yabadilike ki miujiza bila ya kumpa nafasi ya kuleta mabadiliko.

Hii inapelekea mimi kujiuliza, hivi hawa watu ni kweli wanachukia utendaji wake au kuna jingine?
Wanapatwa na hofu gani? Kupigwa au?
 
Transparency is virtue, mimi sio mnafiki nasema ukweli nchi yetu haina mazingira mazuri ya uwazi hilo ni tatizo hawa kwenye matumizi ya fedha za umma. Tatizo brother nchi yetu ina mifumo mibaya uwajibikaji viongozi wafanya wanavyojisikia, hata vyombo vya habari ambavyo vinadumisha uwazi uhuru wao mdogo vinaiishia kujikombo tu
Yeah hili ndio mimi nina tatizo nalo, kuchangia maendeleo si tatizo kabisa.

Shida ni kuchanga halafu anatokea boya mmoja anatunga kitu chake ama mradi ili serikali iingize hela pasipo na tija ili tu sehemu ya ile hela aiibe! Yani waziri anajigeuza dalali kwenye mradi anakunja % yake flani.
 
Hahahahahahah alikanyaga waya wa live[emoji28] kikaumana!

Iba ila hakikisha raia hawanung’uniki yani! Ndicho alichofanya JPM ila ukiingia anga zake anakushaya.
Alikuwa mpigaji asieacha mifupa , CAG akatufungua macho.. shida iko kwa mazezeta aliotuachia.
 
Hivi mleta maada nikuulize swali, mtaani kwenu kuna kibaka maaarufu na hodari anagopwa na kila mtu leo usikie yule kibaka kazungukia maeneo ya nyumbani kwako je utakuwa na amani tena?
 
Kwa siku kadhaa sasa nikipitia humu JF naona jina la January Makamba linatajwa sana, hasa kwa mabaya. Lakini cha kushangaza watu hao wanaomsema kwa mabaya hawana ushahidi wowote.

Kitu kingine ambacho sikielewi ni kwamba huyu kijana amekuwa waziri kwa takribani miezi mitatu sasa lakini watu wanataka mambo yabadilike ki miujiza bila ya kumpa nafasi ya kuleta mabadiliko.

Hii inapelekea mimi kujiuliza, hivi hawa watu ni kweli wanachukia utendaji wake au kuna jingine?
Thtrat pekee kwenye Urais
 
CCM hawanaga shukrani, January si wa kuchezea, anajua siri nyingi sana za nchi, wana CCM wenzangu hamkumbuki alifanya kazi kubwa sana kwenye uchguzi wa 2015 ndani ya chumba cha kuhesabia kura ? Lowassa alikuwa katukamata kweli kweli.

Ndugu January siku wakikuudhi zaidi wewe wabwagie data zote watulie. 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom