Hivi kwanini kuna watu wakisikia jina la January Makamba wanapatwa na hofu?

Hivi kwanini kuna watu wakisikia jina la January Makamba wanapatwa na hofu?

Yeah hili ndio mimi nina tatizo nalo, kuchangia maendeleo si tatizo kabisa.

Shida ni kuchanga halafu anatokea boya mmoja anatunga kitu chake ama mradi ili serikali iingize hela pasipo na tija ili tu sehemu ya ile hela aiibe! Yani waziri anajigeuza dalali kwenye mradi anakunja % yake flani.
Kaka ukiwa jikoni penye harufu nzuri ya nyama kukwepa kudokoa unaitaji neema ya Mungu. Wengi tukiwa wadogo kizazi cha kuanzia miaka 89 mpaka tisini tumedokoa sana nyama ukimlia timing mama. Haya mambo nimegumu Sana yanaitaji uzalendo wa hali juu kabisa
 
Kaka ukiwa jikoni penye harufu nzuri ya nyama kukwepa kudokoa unaitaji neema ya Mungu. Wengi tukiwa wadogo kizazi cha kuanzia miaka 89 mpaka tisini tumedokoa sana nyama ukimlia timing mama. Haya mambo nimegumu Sana yanaitaji uzalendo wa hali juu kabisa
Unadokoa nyama af unaipoozea mdomoni😅
 
Mti wenye matunda...

P
Wakumbuke pia kuwa aliingia kwenye top 3 au 5 kama sijakosea kwenye kinyang'anyiro cha kuteuliwa kugombea urais wa Tanzania kupitia CCM mwaka 2015. Wabaya wake wanaona jamaa waliyedhani amefunikwa na labda kufukiwa kwa miaka 5, sasa ameibuka na anakuja kwa kasi!!! Lazima wapate kiwewe.
 
Kwa siku kadhaa sasa nikipitia humu JF naona jina la January Makamba linatajwa sana, hasa kwa mabaya. Lakini cha kushangaza watu hao wanaomsema kwa mabaya hawana ushahidi wowote.

Kitu kingine ambacho sikielewi ni kwamba huyu kijana amekuwa waziri kwa takribani miezi mitatu sasa lakini watu wanataka mambo yabadilike ki miujiza bila ya kumpa nafasi ya kuleta mabadiliko.

Hii inapelekea mimi kujiuliza, hivi hawa watu ni kweli wanachukia utendaji wake au kuna jingine?
Watu wanaichukia CCM na watu wake.
 
Kupewa wizara tu ukatangazwa ukame, alivyona haraka keshaingia mkataba na wahindi wa dola 30m na karibu Kila kitu kinaharibika mkononi mwake nyie mnaomtetea endeleeni maana matumbo yenu ni ya maana kuliko Tanzania.
 
Kupewa wizara tu ukatangazwa ukame, alivyona haraka keshaingia mkataba na wahindi wa dola 30m na karibu Kila kitu kinaharibika mkononi mwake nyie mnaomtetea endeleeni maana matumbo yenu ni ya maana kuliko Tanzania.
Nchi Sasa hivi ina ukame maeneo mengi nchini huo ndio ukweli. Lakini pia tambua kuwa makamba ni mdogo zaidi ya Tanzania kama kuna mkataba mbovu ameingia atawajiba bungeni, ni kama Kuna flauding kwenye mikataba wizara yake imeingia mamlaka za uteuzi zitawajibika kwa viongozi wahusika. Tabia ya kupakana matope inaonesha Watanzania tuna roho za kichawi
 
Nchi Sasa hivi ina ukame maeneo mengi nchini huo ndio ukweli. Lakini pia tambua kuwa makamba ni mdogo zaidi ya Tanzania kama kuna mkataba mbovu ameingia atawajiba bungeni, ni kama Kuna flauding kwenye mikataba wizara yake imeingia mamlaka za uteuzi zitawajibika kwa viongozi wahusika. Tabia ya kupakana matope inaonesha Watanzania tuna roho za kichawi
Nkerebuke,habari za risk analysis unazijua?
 
Nkerebuke,habari za risk analysis unazijua?
Ndio nafahamu vizuri tu kama hasa ni kipengere muhimu Sana kwenye management, au kwenye feasibility study ya mladi flani. Risk analysis inafanyika ili kupunguza risk ambazo zinaweza kujitekeza katikati ya mradi flani hata mikataba kwa mfano mkataba wanaosema ameingia makamba badala ya kusema wizara ya nishati ambayo Waziri ni sehemu yake. Brother usiwe framed na chuki wakati una uelewa mzuri mkataba haingii mtu ila niwizara husika na mwanasheria mkuu wa serikalii ana husika kama risk analysis inafanyika na team ya wanazuoni wenye weledi pingine mtu kama makamba mwenye elimu ya diplomasia anapewa tu report
 
Kuna Uzi humu tuliambiwa tuwe makini na vijana wenye vipara na kukunja mikono ya mashati yao wewe hukuiona?
 
Achana na page za kupika majungu bro hazibabilishi chochote kwenye mifumo ya uwajibikaji wa nchi yetu
ndo ukamwambie sana boss wenu...mtu kakaa mwezi haujaisha.,.,,anmevuruga kila kitu kwenye taasisi..na hapo lengo lake kubwa ni kutudalalia tu umeme wa jua na upepo tuuziwe kwa dollar hamna jipya..chezea safasi za ulaya
 
Kupewa wizara tu ukatangazwa ukame, alivyona haraka keshaingia mkataba na wahindi wa dola 30m na karibu Kila kitu kinaharibika mkononi mwake nyie mnaomtetea endeleeni maana matumbo yenu ni ya maana kuliko Tanzania.
changamoto ya makamba hana tofauti ya sirjeff.. ana minions wengi sana ambao wako tayari kusema lolote ila jamaa yao aonekane Mungu mtu..pathetic
 
Mara nyingine watu hawamuwazi January Makamba...wanawaza mwezi wa kwanza.
 
Ndio nafahamu vizuri tu kama hasa ni kipengere muhimu Sana kwenye management, au kwenye feasibility study ya mladi flani. Risk analysis inafanyika ili kupunguza risk ambazo zinaweza kujitekeza katikati ya mradi flani hata mikataba kwa mfano mkataba wanaosema ameingia makamba badala ya kusema wizara ya nishati ambayo Waziri ni sehemu yake. Brother usiwe framed na chuki wakati una uelewa mzuri mkataba haingii mtu ila niwizara husika na mwanasheria mkuu wa serikalii ana husika kama risk analysis inafanyika na team ya wanazuoni wenye weledi pingine mtu kama makamba mwenye elimu ya diplomasia anapewa tu report
Kwanza una adabu kwenye majadiliano hilo nimethibitisha,kilichopo siyo chuki Ila historia ya makamba ukijumlisha na kinachoendelea leo,umeme unakatika Kila Mara kiasi unakuwa siyo wa uhakika na taarifa yake ya ukame unasababisha haya unayoyasikia.
 
ndo ukamwambie sana boss wenu...mtu kakaa mwezi haujaisha.,.,,anmevuruga kila kitu kwenye taasisi..na hapo lengo lake kubwa ni kutudalalia tu umeme wa jua na upepo tuuziwe kwa dollar hamna jipya..chezea safasi za ulaya
Bado unaendeleza majungu as if kuna mtu anaekutuma. Mimi simtetei makamba coz yeye ni sehemu ndogo tu ya wazara ya nishati. Ukifata seniority utakuta mkuu hapa ni Rais ndio boss wake. Usipayuke leta overall performance ya wizara ya nishati nchi nzima sio kumuhukumu mtoto wa mwenzio bila vigezo. Mimi nipo Dodoma umeme tuna enjoy mda wote hakuna mgao wala nini. Kaka kumbuka mwaka 2017 paliwahi tokea shida ya umeme nchini mbona mnasahau mapema Sana. Makamba ni mwanasiasa tu hana utaaramu wowote kuhusu nishati mengine tutamuonea tu
 
Kwa siku kadhaa sasa nikipitia humu JF naona jina la January Makamba linatajwa sana, hasa kwa mabaya. Lakini cha kushangaza watu hao wanaomsema kwa mabaya hawana ushahidi wowote.

Kitu kingine ambacho sikielewi ni kwamba huyu kijana amekuwa waziri kwa takribani miezi mitatu sasa lakini watu wanataka mambo yabadilike ki miujiza bila ya kumpa nafasi ya kuleta mabadiliko.

Hii inapelekea mimi kujiuliza, hivi hawa watu ni kweli wanachukia utendaji wake au kuna jingine?
Kama umekuja humu kumkuwadia, kamwambie huyo Waziri wako asitukatie umeme kwa kisingizio cha regular maintenance kumbe ni Wakala wa wauzs majenereta, ZUZU huyo
 
Bado unaendeleza majungu as if kuna mtu anaekutuma. Mimi simtetei makamba coz yeye ni sehemu ndogo tu ya wazara ya nishati. Ukifata seniority utakuta mkuu hapa ni Rais ndio boss wake. Usipayuke leta overall performance ya wizara ya nishati nchi nzima sio kumuhukumu mtoto wa mwenzio bila vigezo. Mimi nipo Dodoma umeme tuna enjoy mda wote hakuna mgao wala nini. Kaka kumbuka mwaka 2017 paliwahi tokea shida ya umeme nchini mbona mnasahau mapema Sana. Makamba ni mwanasiasa tu hana utaaramu wowote kuhusu nishati mengine tutamuonea tu
unazunguka sana kumsafisha mtu..kwanini tusimnyooshee mikono innocent bashungwa au wengine..so kua kwako Dodoma ndo inatumika kujudge nchi nzima..unajua mgao unaoendelea sehem nyengine za nchi au ndo yale ya maria antoinete..mmezoea kula keki mnashangaa mikate inakosekanaje...Kama unaijua historia ya hiyo wizara toka kipindi cha kikwete hadi sasa wala huhitaji kaza shingo..unanchosha
 
Kwanza una adabu kwenye majadiliano hilo nimethibitisha,kilichopo siyo chuki Ila historia ya makamba ukijumlisha na kinachoendelea leo,umeme unakatika Kila Mara kiasi unakuwa siyo wa uhakika na taarifa yake ya ukame unasababisha haya unayoyasikia.
Nikweli wakati mwingine wanasiasa wetu hawaaminiki na taarifa za ajabu. Historia mbaya ya makamba ni kuwa kundi ndani chama chake enzi za uchaguzi, na ndoto yake ya urais kama mwigulu lazima wapigwe majungu kwekweli. Kingine tuhuma za kumuhujumu Rais alietutoka ilichafua political character yake. Pia tatizo lingine la makamba hayuko scientific hasa alipo rusha tuhuma kuwa tanesco walifanya kazi bila maintenance kisa kuhofia kufukuzwa hapa nilimdharau kufukua makabuli badala ya kutatua tatizo. Mimi napenda mijadala ambayo ni objective inaleta usawa wa hoja zaidi ya kuleta makundi kama hali inavyojionesha sasa hivi
 
unazunguka sana kumsafisha mtu..kwanini tusimnyooshee mikono innocent bashungwa au wengine..so kua kwako Dodoma ndo inatumika kujudge nchi nzima..unajua mgao unaoendelea sehem nyengine za nchi au ndo yale ya maria antoinete..mmezoea kula keki mnashangaa mikate inakosekanaje...Kama unaijua historia ya hiyo wizara toka kipindi cha kikwete hadi sasa wala huhitaji kaza shingo..unanchosha
Unachosema unaweza kuwa sahihi kuliko mimi lakini bro nataka ujue kuwa nishati ndio roho ya nchi na wala hili sio suala binafsi la makamba ila ni Nchi nzima. Nachelewa kuamini pingine unaitaji neema ya Mungu kuamini kuwa mchawi wa wizara nimakamba, kama Kuna hujuma zimefanyika kufitini uzalishaji wa umeme nchini anaewajibika ni Rais ambaye ndio mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama pamoja na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama ambao niwajumbe. Hili suala kaka sio issue binafsi ya makamba linagusa mamlaka zote za ulinzi nchi na taasisi mkuu. Kumbuka mtendaji mkuu wa wizara by professional ni katibu mkuu. Kuna mengi ya kujiuliza tusimbebeshi zigo la mavi makamba peke yake
 
Kwa siku kadhaa sasa nikipitia humu JF naona jina la January Makamba linatajwa sana, hasa kwa mabaya. Lakini cha kushangaza watu hao wanaomsema kwa mabaya hawana ushahidi wowote.

Kitu kingine ambacho sikielewi ni kwamba huyu kijana amekuwa waziri kwa takribani miezi mitatu sasa lakini watu wanataka mambo yabadilike ki miujiza bila ya kumpa nafasi ya kuleta mabadiliko.

Hii inapelekea mimi kujiuliza, hivi hawa watu ni kweli wanachukia utendaji wake au kuna jingine?
Lameck knows better .. Waswahel wanasema adui yako mwombee njaa[emoji3]
 
Back
Top Bottom