Hivi kwanini kuna watu wakisikia jina la January Makamba wanapatwa na hofu?

Hawa ndiyo kula yao wanapewa deal wanaingia mtaani kutangaza mavi ni mkate.

Jamaa alivyoingia kimkakati kupiga atapiga hasa ila kuna wahuni wachache kila wanapoambiwa hawauoni ukweli kisa 5k za bando na supu.
 
Uongo mtupu, mara matengenezo yalikuwa hayajafanyiwa kwa muda mrefu, jana tena tunamuona anakagua mito na mabonde kuangalia maji..

Tuamini lipi sasa kati ya mitambo kutofanyiwa ukarabati ama sababu ya upungufu wa maji.?
Tena kwa chopa hizo gharama za chopa mpaka atakapoimaliza mito yote atatoa mifukoni mwake ?
 
Mara hii ushaanza kurusha mawe ?
 
Hawa ndiyo kula yao wanapewa deal wanaingia mtaani kutangaza mavi ni mkate.

Jamaa alivyoingia kimkakati kupiga atapiga hasa ila kuna wahuni wachache kila wanapoambiwa hawauoni ukweli kisa 5k za bando na supu.
Watu ni mapimbi wakishalipwa buku 5/5 tu za supu na bundle
 
Unataka ushahidi gani toka kwa huyo tapeli ambaye hata dada yake aliweka rehani utu wake kwa ajili yake?! anajua kucheza na maneno kuwadanganya wajinga kama wewe, hebu muulize huyo bosi wako ile winchi ya tani 26 inakuja lini?
Lete ushahidi hapa! Acha maneno
 
January yupo hapo kimkakati sana!!!Mtandao wa matajiri wana andaa mtu wao siku akichukua fomu ikulu ni yake!!!January hayupo pale kwa bahati mbaya mazee!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…