Hivi kwanini Mabasi kutoka Dar kwenda Mpanda, Katavi yanazuiwa kuendelea na safari yakifika Sikonge, Tabora?

Hivi kwanini Mabasi kutoka Dar kwenda Mpanda, Katavi yanazuiwa kuendelea na safari yakifika Sikonge, Tabora?

Wee jamaa ni kiazi sana unang'ang'ania miaka 60 ya Uhuru tu VP nchi kama marekani wamepata Uhuru miaka 200 iyoyopita ila bado matukio ya kihalifu yanatokea na apo wanateknolojia kubwa kuzidi yoyote mapori ya skonge ni makubwa kieneo ipatikanaji was huduma za kidharura ni mdogo sana na ni rahisi kuvamiwa ila huelewi nakumbuka nilikuwa natoka tabora kupitia skonge kwendaa chunya sijui kama ile barabara imetengenezwa maana ilikuwa 2010 saivi ila ile barabara ina pori bays sana
Mimi kuwa kiazi au magimbi au muhogo wala siyo kesi, so its really quite irrelevant and immaterial to call me that. Kujilinganisha sisi na Marekani ni sawa na kama alivyopenda kusema Mzee wetu Mwinyi huwezi kulinganisha Mlima Kilimanjaro na Kichuguu. Narudia tena tuachane na habari za zamani eti huko kuna mapori watu walikuwa wanatekwa na majambazi, lets forget about that and focus on present and future. Leta hapa your positive thinking, yaani assume kama wewe ndiye kiongozi unatakiwa ulete solution kwa unaowaongoza uataendelea kung'ang'ana na hayo mawazo ya kizamani kwamba oooh watu wanatekwaa oooh kuna mapori makubwaa blaa blaaa blaaa?
 
Ni kukurupuka tu mbona siku zote utaratibu huo haukuwepo?hata mwaka jana mwanzoni nimetoka dar asubuhi nimefika mpanda saa 11 alfajiri na MAJINJA BUS?!!
Jinjah boy ni muhuni
Kitu mshikamano, saa Sita upo Mizengo Pinda
 
Jinjah boy ni muhuni
Kitu mshikamano, saa Sita upo Mizengo Pinda
Mshikamano wamempiga fitna sijui maana ameachia ngazi na amechomoa Bus zake.....Kiukweli kuna vitu vya ajabu sana kuna siku (December Mwaka jana) Mshikamano alileta Bus mbili kuja Mpanda maana abiria walikuwa wengi. Sasa asubuhi Bus zote mbili zina abiria pale stend wanataka kuondoka Bus moja ikazuiwa eti haiwezekani kampuni moja kuondoa Bus mbili kwa mpigo, Bus moja ikazuiwa kuondoka ile saa 12 asubihi daah.
 
Pori lile sio poa, tumewahi zuiwa hapo enzi hamna lami, tunaitafuta Inyonga tupo na Land Cruiser LX ,tumetoka Sikonge kwenye majukumu X, tuliona Mjuba anatoka porini na chuma mgongoni kuingia kama anachungulia aone nani anakuja nahisi walikuwa wanalia mingo ndiga za abiria, tupo mwendo wa mateka, suka akatu alert tuwe tayari huku akiwa anapunguza mwendo, vioo vilishushwa na sisi upande wetu Wakurungwa wakazikoki kuzielekeza nje tayari kwa lolote kivyovyote. Yule mjuba akatokomea tena porini kama mshale na kukawa kimya na sisi tukaenda kusimama mbele maana kulikuwa na TaTa ya abiria tuliiacha nyuma kuisubiri. Ikapita tukaisindikiza tukaiacha tukasepa zetu bila kumstua dereva wala kuleta taharuki.
The world is full of good people, if fou can't find one, then be one
You did well with you colleagues
 
uwe unaelewa,KAZI ya jw siyo kuokota korosho Wala kulinda barabara,KAZI Yao ni kulinda mipaka ya nchi
Hivi wewe na mimi nani mwenye kichwa kigumu? Hivi unaelewa maana ya maneno...''Majukumu yako ni 1,2,3 na majukumu mengine kama utakavyopangiwa na mkuu wako/Kiongozi wako?? Anyway naweza kuwa nabishana na mtu ambaye hata hajawahi kuajiriwa. Unadhani JPM alivyowaelekeza JW waende kwenye korosho au majukumu mengine, yeye kama amiri jeshi mkuu hajui majukumu yao ila wewe ndiye mjuaji??
 
Mshikamano wamempiga fitna sijui maana ameachia ngazi na amechomoa Bus zake.....Kiukweli kuna vitu vya ajabu sana kuna siku (December Mwaka jana) Mshikamano alileta Bus mbili kuja Mpanda maana abiria walikuwa wengi. Sasa asubuhi Bus zote mbili zina abiria pale stend wanataka kuondoka Bus moja ikazuiwa eti haiwezekani kampuni moja kuondoa Bus mbili kwa mpigo, Bus moja ikazuiwa kuondoka ile saa 12 asubihi daah.
Majinjah mshenzi sana, Ana fitina za kiboya wakati mabasi yake mabovu
 
Hivi wewe na mimi nani mwenye kichwa kigumu? Hivi unaelewa maana ya maneno...''Majukumu yako ni 1,2,3 na majukumu mengine kama utakavyopangiwa na mkuu wako/Kiongozi wako?? Anyway naweza kuwa nabishana na mtu ambaye hata hajawahi kuajiriwa. Unadhani JPM alivyowaelekeza JW waende kwenye korosho au majukumu mengine, yeye kama amiri jeshi mkuu hajui majukumu yao ila wewe ndiye mjuaji??
jpm siyo kielelezo Cha utawala Bora,jwtz siyo jeshi la kupambana na ujambazi
 
jpm siyo kielelezo Cha utawala Bora,jwtz siyo jeshi la kupambana na ujambazi
SG sasa umekubali kwamba siyo kielelezo cha utawala bora siyo? Anyway mifano ipo hata kwenye tawala za nyuma but i wont bother to give coz you wont understand...
 
Mpanda patamu sana...Mtaa wa fisi ...mtaa wa Simba ..zedigital...kwa Manka....shuka kule kichangani...na ule mtaa live band yaani pisi mpaka buku halafu grade 1 ya chienyeji.....

Ikola....Mwese...Katuma...Kayenze...Karema...Kasekese ...Majimoto...nk
We jamaa, 🤣🤣🤣 unapajua kote huko
We ni kiboko
 
SG sasa umekubali kwamba siyo kielelezo cha utawala bora siyo? Anyway mifano ipo hata kwenye tawala za nyuma but i wont bother to give coz you wont understand...
It's you who don't understand bro
 
Shukuru sana kwa jambo hilo kuna mapori makubwa sana hiyo baranara nakumbuka tulitaka kutekwa na BUS la SABENA sijui kama lipo. Kuna wahuni sana wa Kirundi na Kinyarwanda hasa pori la Inyonga. Polisi hawa wazembe hawana uwezo wa kuwadhibiti hao wahuni na Wakorofi. Sehemu zote za maporini ukiona kuna Waarabu wanakaa hapo muda mrf tia akili. Tulia kupambazuke mbelembele ya Sikonge jiandae na Nzi pori Mbung'o.
Kauli moja tu ya RPC inatosha kuwamaliza hao wahuni kwamba vyombo vya ulinzi na usalama vimeshindwa kudhibiti hao wahuni?
 
Dereva wenu ndie Mzembe. Angefika hapo kabla ya saa 3 usiku mngetoboa sasa Hapo Sikonge madereva wanapenda kulala kwa maksudi maaana wameoa Warabu koko wapo kibao so dereva anachelewa maksudi kufika ili akahudumie nyumba ndogo yake.

Siku nyingine Ongea na afande kiume uone ka hamjaruhusiwa.

Hapo hata ufike saa 12 jioni. Ila bado tupo zama za giza.

Kangi lugola apewe hata ukuu wa mkoa hapo. [emoji3][emoji3]
 
Hapo hata ufike saa 12 jioni. Ila bado tupo zama za giza.

Kangi lugola apewe hata ukuu wa mkoa hapo. [emoji3][emoji3]
Kilio hiki kitajibiwa sio muda mrefu
FB_IMG_16778427710606028.jpg
 
Wadau tumetoka Dar na Bus la HAPPY NATION saa 12 asubuhi na tumefika hapa Sikonge, Tabora Bus limezuiwa kuendelea na safari eti mpaka saa 12 asubuhi, eti kwa sababu njiani kuna mapori makubwa.

Kwa maoni yangu hii si sawa kabisa, yaani pamoja na jitihada kubwa za serikali kukamilisha barabara hii na sasa ni lami kutoka Dar mpaka Mpanda, bado tunawapotezea muda watanzania kukaa hapa masaa 8 kisa hatuwezi kuimarisha usalama?

Hivi tutajikwamua vipi na umasikini ikiwa tunapoteza muda kiasi hiki? Halafu sehemu yenyewe hakuna hata stend yenye facilities za kuhudumia hata abiria wa Bus mbili. Kingine cha kushangaza kwenye maamuzi yetu ni kwamba hivi unawezaje kuacha bus ilale Tabora mjini kwenye huduma nyingi halafu uje kuzuia ma Bus Sikonge?

Kwa staili hii ya kupotezeana muda kiasi hiki uchumi wa kati tutausikia tuu kwa wenzetu. Nimesikitika sana kwa kweli.
. Soma ulichoandika, ndani yake umeandika sababu tena ya msingi sana
 
Back
Top Bottom