Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Kuna siku tunatokea Mpanda wakavunga Coastline imeharibika 2 hrs madereva wameenda kupiga mjegejo....Mkuu hata mimi ndio njia yangu kwenda Swanga, Wewe umesema ukweli kinachoendelea. Naona mapoyoyo yanabishana kwamba hiyo barabara ina utekaji. Ukiwauliza ni lini Utekaji umetokea mara ya mwisho hawana majibuš¤£š¤£. Magufuli alipoingia mwaka 2015 akawaambia maRPC hataki kuskia utekaji na pia askari asipande basi kuescot hicho kitu njia hiyo hakijawahi tokea hata kabla ya hapo nadhan tokea 2013 yaani miaka 10 iliyopita hakuna tukio.
Sasa Magu kaondoka tumerudi zama za Mawe kuogopa Majambazi ndani ya Nchi huru.
Madereva wakatumia hiyo loophole wakaweka Vimada Sikonge sasa imekua kero kero kero.
Sikonge dunia nyingine kabisa unaswe na Mmanga ...dadeki