Hivi kwanini Mabasi kutoka Dar kwenda Mpanda, Katavi yanazuiwa kuendelea na safari yakifika Sikonge, Tabora?

Hivi kwanini Mabasi kutoka Dar kwenda Mpanda, Katavi yanazuiwa kuendelea na safari yakifika Sikonge, Tabora?

Ukweli hii ni aibu. Zama hizi si za kuzuiwa kusafiri eti kisa tunawaogopa majambazi wahuni kutoka burundi na rwanda. Nchi yetu ina majeshi imara why tusiyatumie? Kama mmeshindwa kabisa tuingie mkataba tu mi nna mercenaries solders waliokuwa well trained kuwa disessminate hao wavuta bangi wote within no time.
 
Mkuu ni kwa usalama wako ,Kuna story ya Jambazi Mtoto Jonathan Meshack aliyetikisa kanda ya ziwa miaka ya 2003-2012 ,alipiga matukio ya hatari ya utekaji kwenye mapori ya nyakanazi na mengine mengi tu na kukwara mali za basi zima.

Hizo sehemu ni hatari kukatiza especially usiku...Kama una haraka sana ni bora uwe unapanda NDEGE au tumia private car upite mida unayotaka wewe peke yako.
 
Wadau tumetoka Dar na Bus la HAPPY NATION saa 12 asubuhi na tumefika hapa Sikonge, Tabora Bus limezuiwa kuendelea na safari eti mpaka saa 12 asubuhi, eti kwa sababu njiani kuna mapori makubwa.

Kwa maoni yangu hii si sawa kabisa, yaani pamoja na jitihada kubwa za serikali kukamilisha barabara hii na sasa ni lami kutoka Dar mpaka Mpanda, bado tunawapotezea muda watanzania kukaa hapa masaa 8 kisa hatuwezi kuimarisha usalama?

Hivi tutajikwamua vipi na umasikini ikiwa tunapoteza muda kiasi hiki? Halafu sehemu yenyewe hakuna hata stend yenye facilities za kuhudumia hata abiria wa Bus mbili. Kingine cha kushangaza kwenye maamuzi yetu ni kwamba hivi unawezaje kuacha bus ilale Tabora mjini kwenye huduma nyingi halafu uje kuzuia ma Bus Sikonge?

Kwa staili hii ya kupotezeana muda kiasi hiki uchumi wa kati tutausikia tuu kwa wenzetu. Nimesikitika sana kwa kweli.
Hawataki kusema tu, uwa wanafanya hivi kuwapisha wachawi kufanya yao usiku
 
Wadau tumetoka Dar na Bus la HAPPY NATION saa 12 asubuhi na tumefika hapa Sikonge, Tabora Bus limezuiwa kuendelea na safari eti mpaka saa 12 asubuhi, eti kwa sababu njiani kuna mapori makubwa.

Kwa maoni yangu hii si sawa kabisa, yaani pamoja na jitihada kubwa za serikali kukamilisha barabara hii na sasa ni lami kutoka Dar mpaka Mpanda, bado tunawapotezea muda watanzania kukaa hapa masaa 8 kisa hatuwezi kuimarisha usalama?

Hivi tutajikwamua vipi na umasikini ikiwa tunapoteza muda kiasi hiki? Halafu sehemu yenyewe hakuna hata stend yenye facilities za kuhudumia hata abiria wa Bus mbili. Kingine cha kushangaza kwenye maamuzi yetu ni kwamba hivi unawezaje kuacha bus ilale Tabora mjini kwenye huduma nyingi halafu uje kuzuia ma Bus Sikonge?

Kwa staili hii ya kupotezeana muda kiasi hiki uchumi wa kati tutausikia tuu kwa wenzetu. Nimesikitika sana kwa kweli.
Panda ndege mkuu,
 
Buses Za Kwenda Kigoma, Mpanda, Kagera Hakuna Namna Lazima Mlegeze Mwili Hapo Mpaka Asubuhi Ndiyo Safari Iendelee
Ukitoka Dar Es Salaam ~Mpanda Mtalala Sikonge/Kaliua
Ukitoka Dar Es Salaam ~Kigoma Mtalala Hapo Hapo

Wasafiri Dar Es Salaam ~Kagera Nao Kahama/Ushirobo Kulala

Zamani 2007 Wanaokwenda Kigoma Walikuwa Wanapita Kahama Hapo Watu Tele Wanalala Kwenye Bus, Kubwa Zaidi Usalama Ni Mdogo Na Mapori Makubwa Sana
Ninja Akiwa Waziri Wa Mambo Ya Ndani Alisema Majambazi Yasitupangie Muda Wa Kusafiri


Watu Wasafiri Muda Wote Wanakotaka Ila Nakwambia Siyo Kagera, Kigoma, Mpanda
Mtalala Tu Njiani Mnapotoka Dar Es Salaam, Huko Noma Sana Unatembea Kilometres Tele Ni Mapori Tupu

Ukitekwa Hupati Msaada Mpaka Wachukue Vitu Vya Thamani
Serikali Vitendo Hakuna!!!
wewe naye hiyo ni route gani dar-mpanda apite tena kaliua?
 
Miaka 60 baada ya uhuru bado hatuwezi kudhibiti wahalifu kweli? Tutaobdokanaje kwenye umasikini kama tunapoteza masaa 8 hapa Kijijini Sikonge? Wenzetu wanafanya kazi 24 hours sisi tunachezea muda namna hii kweli? Kwa nini tusingelala Tabora mjini kwenye huduma nyingi?
Hii mambo magufuri ailiikataa enzi zake.
 
Dereva wenu ndie Mzembe. Angefika hapo kabla ya saa 3 usiku mngetoboa sasa Hapo Sikonge madereva wanapenda kulala kwa maksudi maaana wameoa Warabu koko wapo kibao so dereva anachelewa maksudi kufika ili akahudumie nyumba ndogo yake.

Siku nyingine Ongea na afande kiume uone ka hamjaruhusiwa.
Hahaha Mkuu
Na chimbo langu hapo ...nikitoka Arusha na Coast line lazima nipige chini...napokelewa na Dubai ya Sikonge ..overnight 3 days!!!!
 
Ushawai kusikia bus kutekwa na majambazi au ww ulikua bado kwenye mbupu.
Miaka ya 80 kweusi habari hizo zilikuwepo sana kwenye hayo mapori.
Nilishuhudia kuna siku hapo kati Manyoni ukitoka saranda ukaanza kuitafuta manyoni shughuli pevu.
Kilimatinde lilipigwa tukio,tulikuta wazalendo wameweka gogo barabarani.
Bado kusimama walume wakaibuka toka porini nyuma na mbele.
Kuna mwenye jegeje mkanda anao full una njegere za kutosha
Akatwanga juu km 20 hivi kwanza.
Kisha mnaambiwa teremka vua kila kitu acha pale kalale pale chini.
Jamaa walikomba kila kitu cha abiria hadi maandazi na maharage enzi hizo chipsi mayai haijazinduliwa.
Wakachukua mizigo yao wakazama msituni.
Fikiria mnaachwa bus zima uchi.
Hamna cha baba,bibi,babu ,mtoto uchi wa mnyama.
Mnarudi kwenye Bus kuendelea na safari na umbea wetu wabongo ndio mnachunguzana sasa huyu kumbe govinda'huyu kumbe kakeketwa huyu ana mbunye kubwa hivi.
Mpk Bus inafika polisi dereva akapiga ukunga akiwa uchi pia ndio kuja afande kupewa ripoti.
Zikatafutwa kanga mradi watu wajisitiri.
Sasa ww ukikatazwa kwenda mda huo polisi washajua kuna wababe wao hapo kati.
Ina maana bora lawama hizi unazotoa kuliko muende mpigwe tukio huko kati badae mtalaumu kwanini hawakuwazuia.
 
Hivi huko kwenye hayo mapori, hakuna namna serikali inaweza kufanya jambo, kama kuweka vituo vya ulinzi kwa ajili ya wanajeshi/askari ili kuleta usalama?

Kwasababu kitendo cha kuzuia abiria kusafiri usiku, ni sawa na kukubali kuishi na majambazi ndani ya nchi yetu, hili naona halistahili kuwepo.
 
Ushawai kusikia bus kutekwa na majambazi au ww ulikua bado kwenye mbupu.
Miaka ya 80 kweusi habari hizo zilikuwepo sana kwenye hayo mapori.
Nilishuhudia kuna siku hapo kati Manyoni ukitoka saranda ukaanza kuitafuta manyoni shughuli pevu.
Kilimatinde lilipigwa tukio,tulikuta wazalendo wameweka gogo barabarani.
Bado kusimama walume wakaibuka toka porini nyuma na mbele.
Kuna mwenye jegeje mkanda anao full una njegere za kutosha
Akatwanga juu km 20 hivi kwanza.
Kisha mnaambiwa teremka vua kila kitu acha pale kalale pale chini.
Jamaa walikomba kila kitu cha abiria hadi maandazi na maharage enzi hizo chipsi mayai haijazinduliwa.
Wakachukua mizigo yao wakazama msituni.
Fikiria mnaachwa bus zima uchi.
Hamna cha baba,bibi,babu ,mtoto uchi wa mnyama.
Mnarudi kwenye Bus kuendelea na safari na umbea wetu wabongo ndio mnachunguzana sasa huyu kumbe govinda'huyu kumbe kakeketwa huyu ana mbunye kubwa hivi.
Mpk Bus inafika polisi dereva akapiga ukunga akiwa uchi pia ndio kuja afande kupewa ripoti.
Zikatafutwa kanga mradi watu wajisitiri.
Sasa ww ukikatazwa kwenda mda huo polisi washajua kuna wababe wao hapo kati.
Ina maana bora lawama hizi unazotoa kuliko muende mpigwe tukio huko kati badae mtalaumu kwanini hawakuwazuia.
Aisee ...
 
Ushawai kusikia bus kutekwa na majambazi au ww ulikua bado kwenye mbupu.
Miaka ya 80 kweusi habari hizo zilikuwepo sana kwenye hayo mapori.
Nilishuhudia kuna siku hapo kati Manyoni ukitoka saranda ukaanza kuitafuta manyoni shughuli pevu.
Kilimatinde lilipigwa tukio,tulikuta wazalendo wameweka gogo barabarani.
Bado kusimama walume wakaibuka toka porini nyuma na mbele.
Kuna mwenye jegeje mkanda anao full una njegere za kutosha
Akatwanga juu km 20 hivi kwanza.
Kisha mnaambiwa teremka vua kila kitu acha pale kalale pale chini.
Jamaa walikomba kila kitu cha abiria hadi maandazi na maharage enzi hizo chipsi mayai haijazinduliwa.
Wakachukua mizigo yao wakazama msituni.
Fikiria mnaachwa bus zima uchi.
Hamna cha baba,bibi,babu ,mtoto uchi wa mnyama.
Mnarudi kwenye Bus kuendelea na safari na umbea wetu wabongo ndio mnachunguzana sasa huyu kumbe govinda'huyu kumbe kakeketwa huyu ana mbunye kubwa hivi.
Mpk Bus inafika polisi dereva akapiga ukunga akiwa uchi pia ndio kuja afande kupewa ripoti.
Zikatafutwa kanga mradi watu wajisitiri.
Sasa ww ukikatazwa kwenda mda huo polisi washajua kuna wababe wao hapo kati.
Ina maana bora lawama hizi unazotoa kuliko muende mpigwe tukio huko kati badae mtalaumu kwanini hawakuwazuia.
Babu nimecheka kama mazuri vile.
 
Hahaha Mkuu
Na chimbo langu hapo ...nikitoka Arusha na Coast line lazima nipige chini...napokelewa na Dubai ya Sikonge ..overnight 3 days!!!!
Mkuu hata mimi ndio njia yangu kwenda Swanga, Wewe umesema ukweli kinachoendelea. Naona mapoyoyo yanabishana kwamba hiyo barabara ina utekaji. Ukiwauliza ni lini Utekaji umetokea mara ya mwisho hawana majibu🤣🤣. Magufuli alipoingia mwaka 2015 akawaambia maRPC hataki kuskia utekaji na pia askari asipande basi kuescot hicho kitu njia hiyo hakijawahi tokea hata kabla ya hapo nadhan tokea 2013 yaani miaka 10 iliyopita hakuna tukio.
Sasa Magu kaondoka tumerudi zama za Mawe kuogopa Majambazi ndani ya Nchi huru.
Madereva wakatumia hiyo loophole wakaweka Vimada Sikonge sasa imekua kero kero kero.
 
Back
Top Bottom