Hivi kwanini Mabasi kutoka Dar kwenda Mpanda, Katavi yanazuiwa kuendelea na safari yakifika Sikonge, Tabora?

Hivi kwanini Mabasi kutoka Dar kwenda Mpanda, Katavi yanazuiwa kuendelea na safari yakifika Sikonge, Tabora?

Buses Za Kwenda Kigoma, Mpanda, Kagera Hakuna Namna Lazima Mlegeze Mwili Hapo Mpaka Asubuhi Ndiyo Safari Iendelee
Ukitoka Dar Es Salaam ~Mpanda Mtalala Sikonge/Kaliua
Ukitoka Dar Es Salaam ~Kigoma Mtalala Hapo Hapo

Wasafiri Dar Es Salaam ~Kagera Nao Kahama/Ushirobo Kulala

Zamani 2007 Wanaokwenda Kigoma Walikuwa Wanapita Kahama Hapo Watu Tele Wanalala Kwenye Bus, Kubwa Zaidi Usalama Ni Mdogo Na Mapori Makubwa Sana
Ninja Akiwa Waziri Wa Mambo Ya Ndani Alisema Majambazi Yasitupangie Muda Wa Kusafiri


Watu Wasafiri Muda Wote Wanakotaka Ila Nakwambia Siyo Kagera, Kigoma, Mpanda
Mtalala Tu Njiani Mnapotoka Dar Es Salaam, Huko Noma Sana Unatembea Kilometres Tele Ni Mapori Tupu

Ukitekwa Hupati Msaada Mpaka Wachukue Vitu Vya Thamani
Serikali Vitendo Hakuna!!!
 
Uliza kama kuna abilia mwenye mguu wa kuku ili muendelee na safari. Likitokea lolote atawekwa front line
Haa Hiyo Unayoisema Ilitokea Wakati US President Obama Anakuja Tanzania
Mimi Nilikuwa Natokea Kigoma Kwenda Dar Es Salaam Enzi Za Sumry Bus
Kutoka Kigoma Nusu Wamepanda Raia Nusu Wanajeshi Na Mijegeje
Kwenda Kuongeza Nguvu Ujio Wa Obama


Bus Ilikuwa Lazima Ilale Kibaigwa, Gairo, Dumila Ama Morogoro
Hiyo Siku Ilikuwa Asubuhi,Usiku Wote Mpaka Alfajiri Dar Hakuna Kizuizi Watu Wana Mijegeje Tu. Drivers Wanaambiwa Endesha Mpaka Mwisho
 
Huo Msitu wa Kola hapo sio salama kabisa na sio.swala la.jana ama juzi

Kuna Majangili, Majambazi na kila aina ya wahalifu na ni eneo ambalo network bado ni shida kidogo

So ukisema kwamba wanakosea kutotembea usiku embu waza kuhusu familia yako halafu mkatekwe, Kumbuka Police wa escort hamtapewa kituo kizima watatoka wachache ila wale jamaa kule ndio nyumban kwao so u can imagine

Muhimu sana ni watu walale Tabora mjini, Japokuwa wenye mabus hawatak maana watachelwa kufika Mpanda.
 
Haa Hiyo Unayoisema Ilitokea Wakati US President Obama Anakuja Tanzania
Mimi Nilikuwa Natokea Kigoma Kwenda Dar Es Salaam Enzi Za Sumry Bus
Kutoka Kigoma Nusu Wamepanda Raia Nusu Wanajeshi Na Mijegeje
Kwenda Kuongeza Nguvu Ujio Wa Obama


Bus Ilikuwa Lazima Ilale Kibaigwa, Gairo, Dumila Ama Morogoro
Hiyo Siku Ilikuwa Asubuhi,Usiku Wote Mpaka Alfajiri Dar Hakuna Kizuizi Watu Wana Mijegeje Tu. Drivers Wanaambiwa Endesha Mpaka Mwisho
😂😂😂 raha sana safarini upande kwenye gari na hao watu halafu mkutane na trafki mjuaji
 
😂😂😂 raha sana safarini upande kwenye gari na hao watu halafu mkutane na trafki mjuaji


Ikuwa Wakisimamisha Saa Tano Usiku Police Wanaambiwa Kungua Gate Bus Imekamilika Ila Usalama
 
Kwanza kabisa mimi sio na sifanyi kazi LATRA.

Pili kwa experience yangu hayo mapori wanayoyasema ni kweli yapo lakini mbaya zaidi humo maporini hakuna network ya mtandao wowote inakamata na hakuna makazi so kwa usiku emergency ikitokea like gari imepata breakdown humo it's you on your own hakuna msaada mtapata labda itokee kuna gari nyingine ipite iwape msaada ila there is no way mtafanya mawasiliano hasa ya simu so possibly wanazuia kwa sababu hio maana pia kuna wanyama pori humo.
....Kwa hiyo JWTZ yetu Isiyokuwa na Vita Iko wapi???...
 
Wanaosimamia usalama nao ni binadamu usije ukaanza kuhatarisha maisha yao kwa kukimbilia eneo la tukio utakapoanza kupiga simu hovyo za kuomba msaada
 
Kwa hiyo miaka 60 bado hatuwezi kusafiri usiku kweli? Yaani vibaka wanatupangia maisha kweli? Ina maana hatuwezi hata kutumia JW TZ watusaidie kudhibiti hawa vibaka??
Mbeya wamefyeka mahindi eti kosa kuna vibaka wanajificha humo
 
Wadau tumetoka Dar na Bus la HAPPY NATION saa 12 asubuhi na tumefika hapa Sikonge, Tabora Bus limezuiwa kuendelea na safari eti mpaka saa 12 asubuhi, eti kwa sababu njiani kuna mapori makubwa.

Kwa maoni yangu hii si sawa kabisa, yaani pamoja na jitihada kubwa za serikali kukamilisha barabara hii na sasa ni lami kutoka Dar mpaka Mpanda, bado tunawapotezea muda watanzania kukaa hapa masaa 8 kisa hatuwezi kuimarisha usalama?

Hivi tutajikwamua vipi na umasikini ikiwa tunapoteza muda kiasi hiki? Halafu sehemu yenyewe hakuna hata stend yenye facilities za kuhudumia hata abiria wa Bus mbili. Kingine cha kushangaza kwenye maamuzi yetu ni kwamba hivi unawezaje kuacha bus ilale Tabora mjini kwenye huduma nyingi halafu uje kuzuia ma Bus Sikonge?

Kwa staili hii ya kupotezeana muda kiasi hiki uchumi wa kati tutausikia tuu kwa wenzetu. Nimesikitika sana kwa kweli.
Dawa ni kusafiri na private car, humu hakuna suruhisho jombi.
 
Back
Top Bottom