Hivi kwanini mabinti wanachuo walozaliwa 1996-2003 wanafanya sana ngono for leisure?

Hivi kwanini mabinti wanachuo walozaliwa 1996-2003 wanafanya sana ngono for leisure?

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Wasalaam JF,

Tafadhari wadau swali hilo hapo juu. kwanini hawa mabinti hawana noma kunyanduana, na haoni shida kukuchunia kama akiomba lake usimpomjibu na haijalishi una shoo shoo kali wala nini ukizingua anakupotezea.

Hawana noma kukupa shoo za minyanduano bila michongo ya uchumba wala ndoa.

Dadadeki hiki kizazi ni nyoko.

Karibuni sana ushiriki wenu muhimu

Wadiz ndio mimi.
 
Sioni kama foe leisure , kwangu leisure naitafasiri ni starehe ambayo mtu mhusika mwenyewe angejioangia just for fun yaani.

Hawa wa sasa ni tamaa na njaa za kupitiliza zinawaponza sana man ndio zinazopelekea kua kila akitongozwa anasane (mindset yake anakwenda kuchuna ili afulfil kile anachoona anakihitaji) ila wanatumika sana sana. Kuna mmoja muda huu yuko masaki hapo toka asubuhi anadumbua na rafikize ilhali kwao ugali maharage na mda wote kaaga kwao kaenda saluni kusuka.

FAMILIA IMECHANGISHA MPKA WATU WAMEFARAKANA HUKO ILA YEYE YUMO BIZE KUAGA WANAUME NA MALAYA WENZAKE WA KIKE HUKO KISA ANAENDA STATES KWA SCHOLSRSHIP . Tuungane tukatae kuhonga zaidi ya buku 5 uone kama watakua wanajirahisisha tena
 
Miaka hiyo, tukirudi nyuma 13 mpaka 30 - 45 wana harakati wa dunia kuwa kijiji ndio waliwekeza nguvu nyingi kuaribu jamii zetu hasa huku Africa

Hata ukiangalia mashoga wengi sasa hivi ni kuanzia miaka hiyo so harakati za kuharibu jamii zetu ziliwekezwa zaidi kwenye miaka hiyo mkuu

Chunguza vizuri vishoga vingi vina 25 years kushuka chini Na vijidemu vinavyogawa utamu bila ya kuona aibu ni wa miaka hiyo

Jamaa wanatumia nguvu sanaa kutuaribia vizazi vyetu
 
Wasalaam JF,

Tafadhari wadau swali hilo hapo juu. kwanini hawa mabinti hawana noma kunyanduana, na haoni shida kukuchunia kama akiomba lake usimpomjibu na haijalishi una shoo shoo kali wala nini ukizingua anakupotezea...
Sio kwamba ndio wakati wao...prime age!

Wengine ndio wanaweka sawa fursa za ndoa. Makosa wanayofanya kwenye hii age bracket ndio yatawapa hekima zaidi na maturity. It's thy prime age
 
Wasalaam JF,

Tafadhari wadau swali hilo hapo juu. kwanini hawa mabinti hawana noma kunyanduana, na haoni shida kukuchunia kama akiomba lake usimpomjibu na haijalishi una shoo shoo kali wala nini ukizingua anakupotezea....
Ni utandawzi tu umerahisisha kuyaona.. ila hata enzi zetu kitambo mambo yalikuwa ni 🔥🔥🔥

sema ililuwa analog
 
Wasalaam JF,

Tafadhari wadau swali hilo hapo juu. kwanini hawa mabinti hawana noma kunyanduana, na haoni shida kukuchunia kama akiomba lake usimpomjibu na haijalishi una shoo shoo kali wala nini ukizingua anakupotezea.

Hawana noma kukupa shoo za minyanduano bila michongo ya uchumba wala ndoa.

Dadadeki hiki kizazi ni nyoko.

Karibuni sana ushiriki wenu muhimu

Wadiz ndio mimi.
Inasababishwa na kukosa muelekeo na kisha kupelekea kutamani material things
 
Msiwasimange, ni wakati wao, umri wao unawaruhusu kufanya hayo, muda ukisogea akili zitakomaa na kutulia.... kama na wewe uliruka hiyo stage basi jiandae kua mtu mzima hovyo, maana itarudi tu.
 
Back
Top Bottom