Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Mara nyingi unakuta maisha ya wengi ya hawa maanko na mashangazi ni full usanii na janjajanja za mjini.
Wanatafuta fursa ya kujineemesha kwa fursa yoyote itakayotokea hata kama ni kifo cha mwana familia aliye na wategemezi (mke na watoto) wao bado watatafuta namna almradi wafaidike na msiba huo pasipo kujali maslahi ya familia ya marehemu.
Hawa watu wana shida gani?
Wanatafuta fursa ya kujineemesha kwa fursa yoyote itakayotokea hata kama ni kifo cha mwana familia aliye na wategemezi (mke na watoto) wao bado watatafuta namna almradi wafaidike na msiba huo pasipo kujali maslahi ya familia ya marehemu.
Hawa watu wana shida gani?