Hivi kwanini mara nyingi maanko na mashangazi wengi hawajanyooka?

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Mara nyingi unakuta maisha ya wengi ya hawa maanko na mashangazi ni full usanii na janjajanja za mjini.

Wanatafuta fursa ya kujineemesha kwa fursa yoyote itakayotokea hata kama ni kifo cha mwana familia aliye na wategemezi (mke na watoto) wao bado watatafuta namna almradi wafaidike na msiba huo pasipo kujali maslahi ya familia ya marehemu.

Hawa watu wana shida gani?
 
Yamekukut Mzee
 
At one point Kila mtu atakua uncle au shangazi...kwaio unataka Maanisha?
 
Hao ni ndugu wa familia za kimasikini. Nyumba moja na gari moja tayari wanamuona kaka/dada yao tajiri..
 
Ngoja na wewe uwe uncle ndio utaelewa...
 
Hao ma anko na shangazi,wengine wanawaita baba mdogo/mkubwa,mama mdogo/mkubwa...sasa sijui tuliwekeje hili
 
Hao ma anko na shangazi,wengine wanawaita baba mdogo/mkubwa,mama mdogo/mkubwa...sasa sijui tuliwekeje hili
liweke hivyohivyo hata kama ni lamoto limeze sindikiza na maji...🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…