Hivi kwanini matajiri wakubwa hapa Tanzania ni wahindi na waarabu tu?

Wanafanya hivyo kwakuwa hapa sio kwao. Nyumbani kwao ni India ambapo wana majumba makubwa kuliko haya yenu.
Sisi watanzania hapa ni kwetu ndo maana tunajenga nyumba popote pale.
Huwezi ishi kwa kuiga wakati wao wanajisitiri kwa muda badae wanaondoka.
Mkuu wahindi hawajengi kwao hata siku moja wao hununua majumba UK na Canada..Wakiondoka ndo wameondoka huwa hawarejei huko India kwenye umasikini kiongozi.Hakuna mhindi eti likizo anaenda India bali Toronto au London.
Watu weusi hatuna discipline na pesa, mweusi hata aishi wapi management ya pesa ni very poor..waangalie akina Tyson, Mayweather et al..ukija bongo angalia hao wapigaji na matumizi yao show off nyingi za kijinga tu. Huwezi kuta mhindi au mwarabu anafanya upumbavu kama wa papaa msoffe au ndama mutoto wa ng'ombe.
 
mkuu dizain ya Papa Musofe na Ndama wapo kila Nchi. Sema huwez kufanyia Sjow off nchi ya kigeni. Hata India tinasikia Harusi za mabilion zikifanyika.

Bado kuna hoja za kujenga kuhusu kwa nn Indian na Arabs hapa bongo ndo wanakimbiza
 
Napenda sana huu msemo
IF WE UNIT,NOBODY FAILS

Wabongo hatupendani,full kusilibiana,full kuzibiana yani anaona bora ampe ngozi nyeupe kuliko mweusi mwenzie,
Wenzetu wanaumoja sana
Yawezekana ndo laana yetu
 
Mkuu me naon 2achan nafikra mgando km izoo kwakwel iy sio hoja yamsingi kuwemo ktk vichw vye2 kwnz unauhakika hasaa km biashara iy waliiendesha wao naukiachia mbal ilo baada ya nchi zetu kutoka kweny makucha yawakoloni weng wao zlitaifishw malizao na mbn sasa wao ndio wnaongoza ktk kpatoo tatzo ltu kwmb cc ha2na umoja namashirikiano hta ktk familia ztu knyume nawao wnavosaidiana naku2nza familia zao....
 
Wengi ni wapambe tu ,wamewekwa front na wanasiasa kuficha umiliki wao.
 
Mieusi ukipata viji cent kidogo tena vya mkopo kazini, kwa kujinyima sana, na ki pick up chako cha mawazo, ukaongezea kisomo mama yangu, sasa wataanza uzushi , mara mtoro, mara mfanyakazi hewa! mara cheti feki, wakati wahindi ndiyo kwanza wanapongezana.M\

Mke wako mama watoto wako yuko tayari atembee na Boss wako kazini ili ufukuzwe kazi, sometimes kukuletea ukimwi kabisaaa maksudi! ili ufe au utaabike! jamani sisemi mengi hii inafanyika kwasiri sana. jamani ptyuuu
 
Weusi hatuna nidhamu ya kazi hasa watz..tuna shida kubwa sana..ujanja ujanja wa kihuni...sio waaminifu pia.
 
Historia inachangia,
Ukiambiwa taja maprofesa watano wamakuwa,wandengereko,wazalamo,sijui utapata wangapi?
Lakini ukiambiwa taja maprofesa 20,wahaya,Wachaga,Wanyakyusa,wapo kibao tu.
 
hii n nzur sana nmejifunza wabongo hatunaga succession plan kwny biashara zetu. mtu anafungua biashara ili imfaidishe yy peke yake. ndo mana makampun mengi ya kibongo akifa mmiliki bas na kampun inakufa kwa sababu wote walobaki hawaelewi chochote kuhusu ile biashara.

pili kibongo bongo kuishi na ndugu wengi kias hcho ndo chanzo cha migogoro.

endelea kutupa madini kutoka kwa wahindi, mana ni nadra sana kukutana nao hawa watu ukaongea nao mawili matatu.
 
sio kwamba matajir wa kiafrica wapo simple No, ni kwamba Wanaogopa figisu za serikali zao. maana viongoz wa africa wakiona raia ana utajiri mioyo inawachoma knoma yan
 
Sio Tanzania tuuuu, karibia Africa yote ni watu weupe ndio matajiri
 
Waafrika wanathamini sana watu weupe. Ili tatizo alipo hapa Afrika tu, Bali pia Ulaya. Angalia maduka yote yanayouza nywele na mawigi Ulaya wamiliki ni watu wa wapo!! Halafu wanunuaji asilimia kubwa ni waafrika!!!
 
Na akisema awashirikishe watoto wanakuwa vichwa maji kuchota pesa na kwenda kuhonga mademu,starehe kwa wingi na kusaka umaarufu mjini.
Majina yote ataitwa yeye.
Ngozi nyeusi, ni ngoma, ngoma, uchawi na ubinafsi(mzazi anajijali yeye na mahela yake), kamwe hatuwezi fanikiwa
 
Uko sahihi mkuu.
Mambo mengine mazuri ya kutoka kwa wahindi nitawaiga.
Lakini ujinga wa kuacha kujenga halaf nikaishi kwenye flats za kariakoo siwezi kufanya.
Wanafanya hivyo kwakuwa hapa sio kwao. Nyumbani kwao ni India ambapo wana majumba makubwa kuliko haya yenu.
Sisi watanzania hapa ni kwetu ndo maana tunajenga nyumba popote pale.
Huwezi ishi kwa kuiga wakati wao wanajisitiri kwa muda badae wanaondoka.
 
Wamekulia mazingira ya Biashara, Wameanza kushiriki kwenye biashara za familia wakiwa wadogo Sana, Wana nidhamu ya Pesa...wanajua kuiongeza maradufu zaidi!! Sio kwamba sisi wabongo hatuwezi ila Wa-Bongo hawapendani,hawaaminiani...Ukiwaachia watoto wa kibongo mali na biashara kubwa ndani ya miaka mitano watakuwa washafilisika!
 
Sijui wahindi..ila waarabu wengi matajiri ni poachers..kubali kataa..wamemaliza faru wote..Bi mkubwa wengu aliniambia miaka ya 70s faru walikuwa wanaonekana mbugani kama nyati tu...
 
umesahau kingine kuroga na kurogwa wee! hasa akileta mi mama ya kambo hapo sasa. wanakula kufirisi tena bila kunawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…