Chikenpox
JF-Expert Member
- Oct 15, 2022
- 784
- 1,246
Hebu fikilia m hungaji kama mwamposa anwaambiaga waumini kwamba kunywa pombe ni dhambi na Wala wasiguse kabisa waumini lakini yeye ana hoteli ya kitalii mahala flani (sipataji) na mle ndani anauza pombe, whisk, konyagi, K-Vant, Vodka, Pushkin, nk na wataleja ni wengi sana.
Sasa mbona tunauziana dhambi kama kweli anaamini ni dhambi! Pili kwa Nini hakufilia kutumia sadaka ya waumini kujenga vituo vya afya, hospitali nk ili kusaidia yatima nk badala yake yeye anahenga mahoteli tu na ukizingatia Hana hata jengo la kuabudia.
Sasa mbona tunauziana dhambi kama kweli anaamini ni dhambi! Pili kwa Nini hakufilia kutumia sadaka ya waumini kujenga vituo vya afya, hospitali nk ili kusaidia yatima nk badala yake yeye anahenga mahoteli tu na ukizingatia Hana hata jengo la kuabudia.