Ni hatari sana kuwa sehemu usio hata na uelewa nayo.Yahweh
Katoliki tu
Watu wanaomwamini Yesu Kristo.Unaelewa maana ya Roman Catholic Church ?
Waislamu ukileta za kuleta juu ya Mtume na Allah hawatacheza mbali na kichwa chako, watakuachia kiwiliwili! Sasa nani atakuwa tayari kupoteza Kichwa apate Mihela?Kifupi tu ni kwamba dini ya ukristo imekua ikichezewa sana mpaka inafikia steji inaonekana kama ni biashara na sio huduma ya kiroho. Waislam wako strict sana na Imani Yao. Huwezi kukuta mtu anajiita Mungu, Mtume, nabii nk.
Sala ya nasadiki ndio silaha yako ya kushindwa kujibu swali ?Kanisa moja ,Takatifu na la Mitume.
Ni hatari sana kuwa sehemu usio hata na uelewa nayo.Watu wanaomwamini Yesu Kristo.
Kama una shindwa kufahamu kuwa Yahweh ni Mungu wa watu gani na dini gani ? Una uelewa gani sasa na Imani yako .Uelewa ndo utanifikisha mbinguni au. Ukitaka kuuoma ufalme wa mungu ndugu lazima uwe kama mtoto mdogo. Mtoto mdogo hanaga mambo mengi
Mbona Wakatoliki wana Mashule na Hospitali ambazo kwa Wanyonge bei haishikiki?Si kama Kanisa wangesomesha watu bure tu!Hebu fikilia m hungaji kama mwamposa anwaambiaga waumini kwamba kunywa pombe ni dhambi na Wala wasiguse kabisa waumini lakini yeye ana hoteli ya kitalii mahala flani( sipataji) na mle ndani anauza pombe, whisk, konyagi, k vant, vodka, push kin, nk na wataleja ni wengi sana. Sasa mbona tunauziana dhambi kama kweli anaamini ni dhambi! Pili kwa Nini hakufilia kutumia sadaka ya waumini kujenga vituo vya afya, hospitali nk ili kusaidia yatima nk badala yake yeye anahenga mahoteli tu na ukizingatia Hana hata jengo la kuabudia
mi sitaki kuelewa dini ila mi nasali ili nimjue mungu siyo kuelewa dini. Katoliki ni platform ya kumjua mungu isiyo na shida Wala wasiwasi mana siyo dini ya mtu Bali a universal church. Hivi vijidhehebu vingine watu wamevianzisha kwa malengo Yao tu ndo mana ukimbishia au kukihitirafiana ma mchungani anakufukuza na huna pa kwenda kushtaki mana ni kanisa lakeKama una shindwa kufahamu kuwa Yahweh ni Mungu wa watu gani na dini gani ? Una uelewa gani sasa na Imani yako .
Ndio maana nika kuuliza toka awali una elewa maana ya Roman Catholic Church ? Umeshindwa kujibu una ruka ruka tu.mi sitaki kuelewa dini ila mi nasali ili nimjue mungu siyo kuelewa dini. Katoliki ni platform ya kumjua mungu isiyo na shida Wala wasiwasi mana siyo dini ya mtu Bali a universal church. Hivi vijidhehebu vingine watu wamevianzisha kwa malengo Yao tu ndo mana ukimbishia au kukihitirafiana ma mchungani anakufukuza na huna pa kwenda kushtaki mana ni kanisa lake
Hizo huduma zina tolewa bure ?Shule na hospitali siyo biashara ni huduma
Nao wanaufahika wa huduma ya mwamposa wana toa pesa hili huduma iweze kusonga mbele.Wanufaika wanatoa hela ila kulipa mishahara madoctor na walimu na other administrative costs tu
Running cost unataka nani alipe ? Wameshaweka infrastructure na wahudumu tayari ni huduma kubwa Sana wametoaHizo huduma zina tolewa bure ?
Wanatoa zinakuwa faida , hii ni mbaya , ilitakiwa watoe running cost za kanisa sio mpaka za kujilimbikizia kujenga hotel yake na mke wake na familia yakeNao wanaufahika wa huduma ya mwamposa wana toa pesa hili huduma iweze kusonga mbele.
Basi naye Mwamposa aachwe atoe huduma, jambo la msingi havunji sheria za nchi.Running cost unataka nani alipe ? Wameshaweka infrastructure na wahudumu tayari ni huduma kubwa Sana wametoa
Hiyo hotel inatoa huduma kwa jamii na wala sio ya kulala yeye na mkewe.Wanatoa zinakuwa faida , hii ni mbaya , ilitakiwa watoe running cost za kanisa sio mpaka za kujilimbikizia kujenga hotel yake na mke wake na familia yake
Naona saudia washaanza kuichezea wamepiga marufuku adhanaKifupi tu ni kwamba dini ya ukristo imekua ikichezewa sana mpaka inafikia steji inaonekana kama ni biashara na sio huduma ya kiroho. Waislam wako strict sana na Imani Yao. Huwezi kukuta mtu anajiita Mungu, Mtume, nabii nk.