Hotel haitoi huduma , hotel ni biashara ya faida , angejenga hospital au shule hizo zinagusa jamii nzima na sio selected watu , na hotel pia haipo chini ya waumini ipo chini yake yeye kama yeyeHiyo hotel inatoa huduma kwa jamii na wala sio ya kulala yeye na mkewe.
Umewahi ona wapi nabii anaesoma biblia ili kujisema yeye ni nabii?Sijawahi ona mtume au nabii aliyefulia baada ya upako kuisha
Unapoandika uongo inakusaidia nini? Umewahi kufika kwenye hiyo hoteli ukakuta hivyo ulivyovitaja? Ficha upumbavu wakoHebu fikilia m hungaji kama mwamposa anwaambiaga waumini kwamba kunywa pombe ni dhambi na Wala wasiguse kabisa waumini lakini yeye ana hoteli ya kitalii mahala flani( sipataji) na mle ndani anauza pombe, whisk, konyagi, k vant, vodka, push kin, nk na wataleja ni wengi sana.
Sasa mbona tunauziana dhambi kama kweli anaamini ni dhambi! Pili kwa Nini hakufilia kutumia sadaka ya waumini kujenga vituo vya afya, hospitali nk ili kusaidia yatima nk badala yake yeye anahenga mahoteli tu na ukizingatia Hana hata jengo la kuabudia.
Shule na hospital hazitoi huduma ni biashara ya faida na ndio maana bila pesa hau kubaliwi.Hotel haitoi huduma , hotel ni biashara ya faida , angejenga hospital au shule hizo zinagusa jamii nzima na sio selected watu , na hotel pia haipo chini ya waumini ipo chini yake yeye kama yeye
Hebu soma hapa;Una tofauti gani na hao wafuasi wa mwamposa ?View attachment 2550490View attachment 2550491
Hizo ni huduma , unalipia gharama za uendeshaji tu na wala sijawahi ona hospital ya kanisa imepata faida , nimefanya humo kila siku wanatembeza bakuli , mpaka inafikia serekali inawasaidiaShule na hospital hazitoi huduma ni biashara ya faida na ndio maana bila pesa hau kubaliwi.
Kuna mahali nime andika kuabudu sanamu hapo katika maelezo yangu ?Hebu soma hapa;
Wakolosai 3:5:
Basi vifisheni vilivyo katika nchi, uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya, na kutamani, ndiyo kuabudu sanamu.
Sasa jiulize, wewe haupo kwenye kundi lolote hapo juu, majibu baki nayo mwenyewe ukiendelea kutembea na hizo picha za watu kwenye simu yako ukijiona mjanja!.
Ni kanisa gani linaabudu sanamuKuna mahali nime andika kuabudu sanamu hapo katika maelezo yangu ?
Soma kwanza uelewe, sio soma ili ujibu.
Nami nazifahamu shule za kikatoliki zinazo lenga fedha kuliko huduma tena kwa gharama kubwa sana.Hizo ni huduma , unalipia gharama za uendeshaji tu na wala sijawahi ona hospital ya kabisa imepata faida , nimefanya humu kila siku wanatembeza bakuli , mpaka inafikia serekali inawasaidia
Hotel imesajilia kwa jina lake na sio jina la waumini wake
Mtume ambae badala aseme ametumwa aseme Nini yeye anatuaomea biblia 😂
Fedha ikiwa kubwa juwa running cost ni kubwa na wameweka standard flani za shuleNami nazifahamu shule za kikatoliki zinazo lenga fedha kuliko huduma tena kwa gharama kubwa sana.
Tuanzie hapa.
Wewe ni dini ?
Kwa nini una niuliza swali la namna hii ?Ni kanisa gani linaabudu sanamu
Huyu si tapeli amewakuta majinga , majibwa ngoja azikusanyeHebu fikilia m hungaji kama mwamposa anwaambiaga waumini kwamba kunywa pombe ni dhambi na Wala wasiguse kabisa waumini lakini yeye ana hoteli ya kitalii mahala flani( sipataji) na mle ndani anauza pombe, whisk, konyagi, k vant, vodka, push kin, nk na wataleja ni wengi sana.
Sasa mbona tunauziana dhambi kama kweli anaamini ni dhambi! Pili kwa Nini hakufilia kutumia sadaka ya waumini kujenga vituo vya afya, hospitali nk ili kusaidia yatima nk badala yake yeye anahenga mahoteli tu na ukizingatia Hana hata jengo la kuabudia.
Mjini hakuna shamba,mjini ni kuzidiana akili tuHebu fikilia m hungaji kama mwamposa anwaambiaga waumini kwamba kunywa pombe ni dhambi na Wala wasiguse kabisa waumini lakini yeye ana hoteli ya kitalii mahala flani( sipataji) na mle ndani anauza pombe, whisk, konyagi, k vant, vodka, push kin, nk na wataleja ni wengi sana.
Sasa mbona tunauziana dhambi kama kweli anaamini ni dhambi! Pili kwa Nini hakufilia kutumia sadaka ya waumini kujenga vituo vya afya, hospitali nk ili kusaidia yatima nk badala yake yeye anahenga mahoteli tu na ukizingatia Hana hata jengo la kuabudia.
Niko mbele yako kwenye kufikiria na kutenda, umeona nimeshakufunga mdomo kwa andiko hapo juu, ndio ikabidi ule kona[emoji1787][emoji1787]Kuna mahali nime andika kuabudu sanamu hapo katika maelezo yangu ?
Soma kwanza uelewe, sio soma ili ujibu.
Inapatikana maeneo gani ? Pia ili asisiwa lini ? Na ina abudu nini ?Fedha ikiwa kubwa juwa running cost ni kubwa na wameweka standard flani za shule
Dini yangu ni mbusu jiwe
Wewe ni dini gani ?Huyu si tapeli amewakuta majinga , majibwa ngoja azikusanye