Hivi kwanini mtu akija huku Dar anapenda lafudhi ya kiswahili chetu?

Hivi kwanini mtu akija huku Dar anapenda lafudhi ya kiswahili chetu?

Lafudhi ipo ni kweli ila ya waswahili ukiwa mshua hutaisikia sababu inapeta sana kwenye dala dala, vijiweni, shule za wenyeji mfano jangwani, temeke, kinondoni, msasani. Vijiwe kama karume, magomeni, tandale n.k

Ila kariakoo madukani huwwzi sikia, maofisi ya serikali, binafsi huwezi sikia, mlimani city huikuti, kwa kifupi ni lafudhi ya watu wa uswahilini waswahili OG
Saaa hiyo si lafudhi (Accent), hiyo inaitwa "Slang"

Ni kama Kenya, kuna lafudhi ya Wakikuyu au Wakenya na kuna slang ya Nairobi ambayo Mombasa wala Lamu haipo
 
Hivi kwanini mtu akija huku Dar anapenda lafudhi ya kiswahili chetu?

Yaani unakuta mtu anaiga kabisa ule uongeaji sijui na yeye aonekane kazaliwa huku?

Sasa kibaya zaidi anavyoongea ni hovyo yaan unaona anajilazimisha na anakosea, hii kitu siipendi kichizi. Ndugu zetu mnaotoka mikoani acheni kulazimisha lafudhi ,kama lafudhi yako ni ya kisukuma, kikurya, kichaga, kimasai nk.

Wewe ongea sisi tunawaelewa na hatuwacheki maana mjini msingi pesa sio lafudhi, mbona wanangu wa ngarenaro wanaongea kwa lafudhi Yao alafu shega tu.

Huu mtazamo tu,

Sorry kwa niliowakera🙏

View attachment 2780113
nimekaa bongo 20 years lakini lafudhi yangu haiwezi kuwa ya kizaramo hata siku moja. nitakuwa nimejishusha hadhi sana.
 
Hivi kwanini mtu akija huku Dar anapenda lafudhi ya kiswahili chetu?

Yaani unakuta mtu anaiga kabisa ule uongeaji sijui na yeye aonekane kazaliwa huku?

Sasa kibaya zaidi anavyoongea ni hovyo yaan unaona anajilazimisha na anakosea, hii kitu siipendi kichizi. Ndugu zetu mnaotoka mikoani acheni kulazimisha lafudhi ,kama lafudhi yako ni ya kisukuma, kikurya, kichaga, kimasai nk.

Wewe ongea sisi tunawaelewa na hatuwacheki maana mjini msingi pesa sio lafudhi, mbona wanangu wa ngarenaro wanaongea kwa lafudhi Yao alafu shega tu.

Huu mtazamo tu,

Sorry kwa niliowakera🙏

View attachment 2780113
Dar hakuna Kiswahili kizuri, watu wanaongea slangs tu
 
Wewe utakua ni mtu mshamba sana, na hapo usikute chimbuko lako umetoka Ludewa huko, au Urambo Tabora, lakini ubishoo wa mjini umekukaa unajifanya we ni wa town... wabongo bhana
Huyu ni dogo wa Kaliua, Tabora. Vijana wa Tabora wakija Dar wanakuwa na ulimbukeni fulani hivi, sawa tu na vijana wa Kigoma.
 
I love this post. I showed this post to my family & they also loved this post.we bought a projector & showed this post to the whole neighborhood & they also loved this post. Our lives have changed because of this post. We are grateful to you for this post,Thank you so much for this post..
 
Asilimia tisini umeitoa wapi?....watu wa mikoani wapo lakini sio kiasi hiko.
 
Lafudhi ipo ni kweli ila ya waswahili ukiwa mshua hutaisikia sababu inapeta sana kwenye dala dala, vijiweni, shule za wenyeji mfano jangwani, temeke, kinondoni, msasani. Vijiwe kama karume, magomeni, tandale n.k

Ila kariakoo madukani huwwzi sikia, maofisi ya serikali, binafsi huwezi sikia, mlimani city huikuti, kwa kifupi ni lafudhi ya watu wa uswahilini waswahili OG
Kubali tu...lafudhi ya kiswahili Cha Dar hakifanani na Cha kwenu mikoani. Hakuna mtu anayeiga lafudhi ya kihaya au ya kichaga Kwa sababu zimejaa kishamba shamba Hilo halipingiki. Hata hao wachaga/wahaya wanaozaliwa Dar wakawa na lafudhi ya Waswahili wa Dar akija huko vijijini kwenu huwa anakuwa na hadhi tofauti. Na wengi hapa mjini kuanzia huko unakosema ofisi za serikali na Kariakoo kiswahili kinachotumika ni lafudhi ya Dar.
 
Kuna baadhi ya lafudhi za makabila fulani fulani kama wahaya, wamasai , wachaga, wahehe, nk ni ngumu sana kutoka na rahisi kuadopt.

Na wengi sio kua anajilazimisha ila inatokea tu nae anaongea kama wenyeji wake.

Kuna mnyakyusa alienda kusoma chuga, akawa anaongea km wa huko. Alipoenda dsm lafudhi ile ikapotea taratibu na sasa haipo tena anaongea kama watu wa dar wengi waongeavyo.
 
Yaani mimi kabisa chalii ya kisimiri niende dar nianze kuiga kiswahili cha huko
Chalii yoyote hawezi fanya uwo uduwanzi wa kiree.
 
Jaribu kuja mbeya alafu jiongeleshe hiyo unayoiita lafudhi yenu.....

Kila mtu ata kudharau....
 
Hivi kwanini mtu akija huku Dar anapenda lafudhi ya kiswahili chetu?

Yaani unakuta mtu anaiga kabisa ule uongeaji sijui na yeye aonekane kazaliwa huku?

Sasa kibaya zaidi anavyoongea ni hovyo yaan unaona anajilazimisha na anakosea, hii kitu siipendi kichizi. Ndugu zetu mnaotoka mikoani acheni kulazimisha lafudhi ,kama lafudhi yako ni ya kisukuma, kikurya, kichaga, kimasai nk.

Wewe ongea sisi tunawaelewa na hatuwacheki maana mjini msingi pesa sio lafudhi, mbona wanangu wa ngarenaro wanaongea kwa lafudhi Yao alafu shega tu.

Huu mtazamo tu,

Sorry kwa niliowakera🙏

View attachment 2780113
Muha akishakaa mjini zaidi ya mwezi anajiita mtu wa Dar, sawa bwana, basi wewe ni Mzaramu.
 
Hivi kwanini mtu akija huku Dar anapenda lafudhi ya kiswahili chetu?

Yaani unakuta mtu anaiga kabisa ule uongeaji sijui na yeye aonekane kazaliwa huku?

Sasa kibaya zaidi anavyoongea ni hovyo yaan unaona anajilazimisha na anakosea, hii kitu siipendi kichizi. Ndugu zetu mnaotoka mikoani acheni kulazimisha lafudhi ,kama lafudhi yako ni ya kisukuma, kikurya, kichaga, kimasai nk.

Wewe ongea sisi tunawaelewa na hatuwacheki maana mjini msingi pesa sio lafudhi, mbona wanangu wa ngarenaro wanaongea kwa lafudhi Yao alafu shega tu.

Huu mtazamo tu,

Sorry kwa niliowakera🙏

View attachment 2780113
Muha ni hivi, siku hizi hapa Tanzania watu wengi wameelimika na kuchukia ushoga, wewe jaribu kwenda mikoani na kujifanya wewe ni kijana wa Dar, uone watu watakupeaje huko.
 
Back
Top Bottom