Zombie S2KIZZY
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 826
- 1,622
- Thread starter
-
- #61
Muha akishakaa mjini zaidi ya mwezi anajiita mtu wa Dar, sawa bwana, basi wewe ni Mzaramu.
Muha akishakaa mjini zaidi ya mwezi anajiita mtu wa Dar, sawa bwana, basi wewe ni Mzaramu.
Acha makasiriko ya umasikini tafuta pesa mkuu ili usiwe na wivu na watu wa darMuha ni hivi, siku hizi hapa Tanzania watu wengi wameelimika na kuchukia ushoga, wewe jaribu kwenda mikoani na kujifanya wewe ni kijana wa Dar, uone watu watakupeaje huko.
Ni wale bodaboda vishandu ndio wanaongea sanaJapo nimeishi dar mda ila naina rafudhi ya pwani wanaongea sana watoto wa uswahilini na maskini huwezi kuta mtu kazaliwa osterbay,upanga ,mbezi ana rafudhi ya pwani
Mbona ni wewe ndiye unayeongea kwa hasira sasa? Hii ni tabia ya kishoga dogo, fanya kazi si kukaa kusifia lafudhi za kishoga.....hakuna mwanamme mwenye akili timamu anafagilia lafudhi ya kishoga, never. Hivi umezaliwa mwaka 2000 na ngapi vile😳Acha makasiriko ya umasikini tafuta pesa mkuu ili usiwe na wivu na watu wa dar
Yaan unacomment chuki na ushuzi Ila moyoni unatamani ufe uzaliwe dar
Sitajibishana na wewe tena maana jamii inaniheshimu pia Mimi ni kioo Cha jamii,
Sawa ya mpumbavu nikumnyamazia tu na umasikini wake
Ukitaka hela ya kula ni pm nikusaidie.
Khaaa, kumbe ni katoto ka juzi tu hapa? Ndiyo maana mshamba wa kila kitu.