Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Huo ni unyonyaji sasa....hakuna urafiki kati ya mwanamke na mwanaume aidha wawe wapenzi ama strangersOmba na endelea na mawasiliano naye ya kawaida huenda kuna siku neema ikamwangwa, who knows.
Daaah[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilifanya kosa la kutongoza officemate akachomoa kwa kusema kabila langu ni la wajinga. Sikuhizi Nina kazi ya kumuwekea virus kwenye laptop na kumuibia documents Hadi akome
😂 😂 😬 NAKAZIAZaid Zaid unakaribisha kutumika kiuchumi
Yaan kumbe mm baada ya ww kuninyima kukuchunia jamaa anatesekaSasa waendelee ili iweje...
Hujakua...
mtu unaefanya nae bishara mapenzi ya nini sasa mkuuHata kama ni mimi, sitaki tena mazoea. Labda kama ninafanya nae biashara.
Ni kweli wewe sio bin'adam uliekamilika.Huwezi kumuwekea virus mtu kwenye laptop yake eti kisa alikukataa.Una ushamba mwingi.Una gubu na chuki kama demu vile.Alinikataa kwa dharau. Alisema wamaasa siyo bin'Adam waliokamilika. Sasa nitamuonyesha
Hivi kwanini mtu akikataliwa ombi la kuwa wapenzi huwa anakata mawasiliano na yule muhusika?
So hairuhusiwi kubaki friends?Sasa waendelee ili iweje...
Hujakua...
ushawahi enda kwa mama ntilie kununua chakula akakwambia kimeisha afu ukabaki kuosha vyombo?Hivi kwanini mtu akikataliwa ombi la kuwa wapenzi huwa anakata mawasiliano na yule muhusika?
Kwani hayaruhusiwi mkuu? Ilishawahi kutokea kwangu kama mara mbili hivi na mambo yalikuwa kawaida tu.mtu unaefanya nae bishara mapenzi ya nini sasa mkuu
Poteza mazima.Kuna manzi alinikataaa Nikamlia tinted nikakata mawasiliano tunaonana tu ofisini mambo poa imeisha,
Kuna siku tuko semina mkoa mwingine akaniomba jioni tutoke tuongee nikakubali bas huko dinner akalalamika namkaushia anatamani urafiki wetu uendelee mi nikamuambia tu I'm okay with her.
Badae nikamletea habari za kumtaka tena, yaani ni kwamba hataki kunikubalia pia hawezi kunikataaa ndo ivo Huwa nachombeza tu Kila tukiwa wawili ofisini,Ana mwamba wake fimbo ya mbali pia na Mimi Nina mke, Sasa wakuu mechi ya kirafiki hapa ipo kweli au nimpotezee mazima?
Hairuhusiwi labda iwe ile ya kusaidiana kama wanadamu.So hairuhusiwi kubaki friends?
😂😂 bora utongoze ukubaliwe… ukikataliwa ni tatizo,, kuna mtu sahivi nashindwa kabisa kumuheshimu tokea aliponitongoza.. ni mbaya sana!!Nilifanya kosa la kutongoza officemate akachomoa kwa kusema kabila langu ni la wajinga. Sikuhizi Nina kazi ya kumuwekea virus kwenye laptop na kumuibia documents Hadi akome
Si ndo hiyo? Sasa kuna wengine hata hiyo hataki, anaanza kukuona kama ka aduiHairuhusiwi labda iwe ile ya kusaidiana kama wanadamu.
Umnyime utamu, alafu na heshima nayo unaacha kumpa? Sio fair![emoji23][emoji23] bora utongoze ukubaliwe… ukikataliwa ni tatizo,, kuna mtu sahivi nashindwa kabisa kumuheshimu tokea aliponitongoza.. ni mbaya sana!!