Hivi kwanini mtu akikataliwa ombi la kuwa wapenzi huwa anakata mawasiliano na yule muhusika?

Hivi kwanini mtu akikataliwa ombi la kuwa wapenzi huwa anakata mawasiliano na yule muhusika?

naendelea kusisitiza ukimya ni silaha kubwa mademu .

mi kunae huyo mmoja tulianza kuzoeana kwanza ,mara nying usiku tunakuw wote tunazurura,

na anapenda kunisifia nikiwa nae &story nyng ,nisipoonekana atauliza kwa marafik zangu wapi nilipo.

siku moja nikaweka verse akachomoa livelive na akasisitiza ana mtu wake nikamjibu haina noma.

tukaendelea na mazoea,ila kushika shika na romance kdg anakubali ,sasa nikajiuliza huyu si alisema ana mtu wake.

tukija kwenye mawasiliano sijawah kumchek ila ashawah nichek mara mbili (anajibu short) nikakaushia, ILA nikiwa nae live uneza hisi ni wapenz kindakndak.

sasa wik iliyoisha tukiwa tumekaa mazngra nikarudia tena kurusha nyavu akachomoa ,bas nikamwambia mazoea itabid yapungue unachokifanya sio poa kwa huyo mtu wako ,akanijibu SAWA HAINA SHIDA, baada ya hapo mimi huyoo nikaamsha


ukimya ukatawala kama siku 4,jana kajileta mwenyew lawama kibao mi namwangalia tu ,nikamsogeza pemben gizan peruzi sana mwil wake ,pima oil mtoto hana pingamiz,

nikasema enhee mambo sindo haya,nikachomoa ndomu kweny wallet nikachakata mtoto,SASA HIVI ANANANIITA MUME,sms kibao mi namchora tu .

kwakuw alileta mishauo mwanzon nataka nimchape tukio nipite kushoto

NB:HAJAWAHI NIOMBA HELA YOYOTE ILE .
kweli mkuu. mwanamke ukimkalia kimya huwa inamuuma sana hadi anakosa raha.

Chakushangaza hata akikupiga kibuti ukimpotezea lazima imuume.
 
Ndivyo walivyo soko likishakuwa gumu atakutafuta

Anataka ndoa ili ajimwambafai kwa ex zake na mashosti zake si mlisema siolewi haya sasa nimeolewa

Hao wanapenda HARUSI ila sio NDOA

Huyo kashakuwa msimbe a.k.a kibungo

Wakijileta kama hivyo wahuni huwa wanasuuza rungu na kusepa

Lakini ukitaka ajisikie vibaya zaidi kama ulivyofanya hamna kumpa attention

Aende kwa mtume wao Kawe kwa Mwamposa
mwanamke akizungua usimpe attention
 
Sina muda na mtu ambaye hana muda nami, ukinikataa nitaonesha nia yangu ya dhati ya kupambania nilichokieleza/kitaka ndani ya muda fulani ila baada ya huo muda kupita bila kueleweka naendelea na maisha mengine na wengine.

Kipindi npo chuo 1st year nilitongoza pisi moja ya kilokole ikaniwekea ngumu baada ya hapo nikapunguza mazoea ikawa ni salamu tu, imepita miaka kanicheki mwaka huu analalama ya kwamba ananipenda ni kwanini nilipunguza ukaribu nae? Akajiimbisha mapambio yake akamalizia kwa kusema anatamani nimuoe au aolewe mwaka huu mwezi october, nikaona tu huyu hana jipya kashaona soko lishamtupa anatafuta wa kumalizia nae maisha. Sikumjibu kitu ukizingatia ni fimbo ya mbali, alinisumbua mwshoni akaona response yangu ni hafifu akatokomea.

Ukishamwambia mtu ukweli wa unachofeel kumhusu unakuwa kwa upande wako umemaliza, kazi inabaki kwake kuamua yajayo. Asipokuelewa sio kesi ila hii ya kumganda mtu hapana. Ke wengi wanakukataa ila wanataka urafiki/ukaribu unaowanufaisha wao, wakupige vizinga bila chochote.
ana kama umri gani sasa hivi? alafu asilimia kubwa ya wanawake huwa hawafuti namba za simu hata za wanaume waliowakataa!
 
Mm ndio huyo taah

Mara nyingi sna nafuta na namba na ukicheza kote kote hata stutus zake hakn kuview
 
Oyaaa 🤣🤣 bora nusu hasara mwanangu

Eti kidume kabisa utoke magetoni ukampelekee manzi kuku hostel acha apambane na hali yale kwa sasa
Alinikera sana si unajua maandalizi ya geto ukiwa unategemea pisi ije, usafi wa hali ya juu 😂
Alafu nije nipeleke kuku wakati hapo nimechukua kuku na hela ya kula wiki nzima 😂
 
Ndivyo walivyo soko likishakuwa gumu atakutafuta

Anataka ndoa ili ajimwambafai kwa ex zake na mashosti zake si mlisema siolewi haya sasa nimeolewa

Hao wanapenda HARUSI ila sio NDOA

Ogopa sana mwanamke wa hivyo
Baadhi ya anawake wakiwa chini ya 25 huwa wanasahau sana muda ni kila kitu kwa mwanamke. Ngoja afike 28 full mawazo ya kupata mume
 
Baadhi ya anawake wakiwa chini ya 25 huwa wanasahau sana muda ni kila kitu kwa mwanamke. Ngoja afike 28 full mawazo ya kupata mume
Uko sahihi muda wa mwanamke kuringia uzuri wake ni mfupi sana

Maana akija kushtuka kashakuwa msimbe, halafu kila mwaka batch mpya za mabinti wazuri na wabichi zinaingia sokoni
 
Sina muda na mtu ambaye hana muda nami, ukinikataa nitaonesha nia yangu ya dhati ya kupambania nilichokieleza/kitaka ndani ya muda fulani ila baada ya huo muda kupita bila kueleweka naendelea na maisha mengine na wengine.

Kipindi npo chuo 1st year nilitongoza pisi moja ya kilokole ikaniwekea ngumu baada ya hapo nikapunguza mazoea ikawa ni salamu tu, imepita miaka kanicheki mwaka huu analalama ya kwamba ananipenda ni kwanini nilipunguza ukaribu nae? Akajiimbisha mapambio yake akamalizia kwa kusema anatamani nimuoe au aolewe mwaka huu mwezi october, nikaona tu huyu hana jipya kashaona soko lishamtupa anatafuta wa kumalizia nae maisha. Sikumjibu kitu ukizingatia ni fimbo ya mbali, alinisumbua mwshoni akaona response yangu ni hafifu akatokomea.

Ukishamwambia mtu ukweli wa unachofeel kumhusu unakuwa kwa upande wako umemaliza, kazi inabaki kwake kuamua yajayo. Asipokuelewa sio kesi ila hii ya kumganda mtu hapana. Ke wengi wanakukataa ila wanataka urafiki/ukaribu unaowanufaisha wao, wakupige vizinga bila chochote.
Nagongelea nyundo hapa......yaani mtu anaetaka muendeleze urafiki ana haja zake binafsi anataka kuzitimiza
 
Hapana kukataliwa si tatizo, ila linaweza kuwa tatizo kama mtongozaji hakutumia akili na ujanja kukutongoza, Mwanaume lazima asome mazingira na akili ya mwanamke anayetaka kumtongoza, kuna baadhi ya wanawake ukiwatongoza kuwapata ni ngumu.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Kumpata ni ngumu ila sio anajiliza kwako shida zake hamna kazi hapooo
 
Back
Top Bottom