kweli mkuu. mwanamke ukimkalia kimya huwa inamuuma sana hadi anakosa raha.naendelea kusisitiza ukimya ni silaha kubwa mademu .
mi kunae huyo mmoja tulianza kuzoeana kwanza ,mara nying usiku tunakuw wote tunazurura,
na anapenda kunisifia nikiwa nae &story nyng ,nisipoonekana atauliza kwa marafik zangu wapi nilipo.
siku moja nikaweka verse akachomoa livelive na akasisitiza ana mtu wake nikamjibu haina noma.
tukaendelea na mazoea,ila kushika shika na romance kdg anakubali ,sasa nikajiuliza huyu si alisema ana mtu wake.
tukija kwenye mawasiliano sijawah kumchek ila ashawah nichek mara mbili (anajibu short) nikakaushia, ILA nikiwa nae live uneza hisi ni wapenz kindakndak.
sasa wik iliyoisha tukiwa tumekaa mazngra nikarudia tena kurusha nyavu akachomoa ,bas nikamwambia mazoea itabid yapungue unachokifanya sio poa kwa huyo mtu wako ,akanijibu SAWA HAINA SHIDA, baada ya hapo mimi huyoo nikaamsha
ukimya ukatawala kama siku 4,jana kajileta mwenyew lawama kibao mi namwangalia tu ,nikamsogeza pemben gizan peruzi sana mwil wake ,pima oil mtoto hana pingamiz,
nikasema enhee mambo sindo haya,nikachomoa ndomu kweny wallet nikachakata mtoto,SASA HIVI ANANANIITA MUME,sms kibao mi namchora tu .
kwakuw alileta mishauo mwanzon nataka nimchape tukio nipite kushoto
NB:HAJAWAHI NIOMBA HELA YOYOTE ILE .
Chakushangaza hata akikupiga kibuti ukimpotezea lazima imuume.