Hivi kwanini mtu akikataliwa ombi la kuwa wapenzi huwa anakata mawasiliano na yule muhusika?

Nilifanya kosa la kutongoza officemate akachomoa kwa kusema kabila langu ni la wajinga. Sikuhizi Nina kazi ya kumuwekea virus kwenye laptop na kumuibia documents Hadi akome
Bro acha ushamba na u-heal sasa ndo nn hiyo serious mwanaume mkubwa unajisifia hivo...kwa kweli huyo mwanamke deserves better kabisaa
 
Kujiona keki tu yaan mtu namba katoa mwenyewe alafu anajizungusha akitafutwa, 🖕🏽🖕🏽🖕🏽 mnaboa sana akiulizwa mboni haupatikani hewani anajifanya km hauelewi umeuliza nini 🖕🏽🖕🏽🖕🏽 mnaboa sana
 
Mkuu semina nje ya mkoa, akaomba dinner, akalalamika unamchunia, akaonesha hataki kukupoteza na bado ukashindwa kumpokea kijiti na kumuongoza anachokitaka!?
 
Tengeneza mazingira ya kulana kimasihala bila kuongelea Habari za kutongozana na kuomba ombana. Wenyewe wanaita no strings attached...yaani vikojoleo ndio viongee
 
Umekaa kinyonge sana
 
Ndo maana sina tabia ya kutongoza ni unajitongoza mwenyewe unajileta wa kuelewa wataelewa alafu masuala ya tongoza tongoza yalipitwa na wakati kwani huwezi kaa na pisi moja mkafanya mipango yenu mizuri mwishowe uharibu urafki na mtu ambaye angekusaidia mbeleni
 
Sasa hata ungepata hayo mawasiliano so unajiumiza tu maana umekataliwa ukiendelea kuwanae karibu ipo siku utaona mwenzio aliekubaliwa he moyo hautakuuma kikubwa Ni kupotezea na kutafuta pengine ukamsahau huyo aliekukataa
 
kwa hio unataka mawasiliano yaendelee mwisho wa siku nije nitambulishwe kwamba huyu ndiye shemeji yako ?

kwani mi sina roho ?

ifikie kipindi ukuwe basi …
 
Ulitengeneza ukaribu ili baadaye yawe mahusiano ya kimapenzi, hivyo ikishindikana kutimia lengo, ni ngumu kuendelea. Ingawa hili swala ni la kisaikolojia zaidi na si jambo ambalo ni logical.
 
Wewe umeomba kazi kampuni X umekosa badala si unatafuta kampuni nyingine sa unaendelea kubaki usubirie nini😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…