RedPill Prophet
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 1,408
- 3,564
Mimi siwezi mweka kama adui maana najua one day atanisaidia kama nikiwa na ishu za kibiashara.Si ndo hiyo? Sasa kuna wengine hata hiyo hataki, anaanza kukuona kama ka adui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi siwezi mweka kama adui maana najua one day atanisaidia kama nikiwa na ishu za kibiashara.Si ndo hiyo? Sasa kuna wengine hata hiyo hataki, anaanza kukuona kama ka adui
Ni mbaya kivipi?😂😂 bora utongoze ukubaliwe… ukikataliwa ni tatizo,, kuna mtu sahivi nashindwa kabisa kumuheshimu tokea aliponitongoza.. ni mbaya sana!!
sioni haja ya kuchanganya hivyo vitu viwiliKwani hayaruhusiwi mkuu? Ilishawahi kutokea kwangu kama mara mbili hivi na mambo yalikuwa kawaida tu.
Yaani ulitaka umfriendzone? Aisee hicho kwangu hakipo.😂😂 bora utongoze ukubaliwe… ukikataliwa ni tatizo,, kuna mtu sahivi nashindwa kabisa kumuheshimu tokea aliponitongoza.. ni mbaya sana!!
Uendelee kuwasiliana nae hadi akutamblishe kwa bwana/demu akeHivi kwanini mtu akikataliwa ombi la kuwa wapenzi huwa anakata mawasiliano na yule muhusika?
Si kama namdharau, no.. but kuna ile namna namuona tu wa kawaida… akiniita ofisini kwake, akili inarudi kwenye kunitaka.. 😔 nachelewa kwendaa, ama naenda nikiwa nishakasirika 😔😔Umnyime utamu, alafu na heshima nayo unaacha kumpa? Sio fair!
Kwanini hampendi??Yaani ulitaka umfriendzone? Aisee hicho kwangu hakipo.
Havutiii maana yake.Si kama namdharau, no.. but kuna ile namna namuona tu wa kawaida… akiniita ofisini kwake, akili inarudi kwenye kunitaka.. 😔 nachelewa kwendaa, ama naenda nikiwa nishakasirika 😔😔
Ni dharau hiyo, wacha porojo!Si kama namdharau, no.. but kuna ile namna namuona tu wa kawaida… akiniita ofisini kwake, akili inarudi kwenye kunitaka.. [emoji17] nachelewa kwendaa, ama naenda nikiwa nishakasirika [emoji17][emoji17]
Si kama namdharau, no.. but kuna ile namna namuona tu wa kawaida… akiniita ofisini kwake, akili inarudi kwenye kunitaka.. 😔 nachelewa kwendaa, ama naenda nikiwa nishakasirika 😔😔
Hatupendi kwasababu wanawake huwa katika hali kama hiyo huwa mnakuwa one sided sana. Yaani shida zako unazimwaga kwangu, za kwangu unamute. Yaani ni heri mwanamke umwendee kwa lengo la urafiki ndo inakuwa njema zaidi, ila ukimtongoza akakataa, inakuwa sasa unampa power baada ya hapo anaanza kukudharau ndo maana mtu akikukataa unampiga chini, unakuwa tu na mawasiliano ya mambo , poa, end of the story.Kwanini hampendi??
Ni kweli.Ni dharau hiyo, wacha porojo!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kwasababu tayari tunao marafiki wa kutosha. Lengo lilikua mapenzi, sio urafiki. Kama mapenzi yameshindikana, kila mtu aendelee na hamsini zake!Kwanini hampendi??
Ilikuwa una mjaribu .....!???Hivi kwanini mtu akikataliwa ombi la kuwa wapenzi huwa anakata mawasiliano na yule muhusika?
Sasa wewe umemkataa mwenzio kuwa wapenzi unategemea akuchekee!Hivi kwanini mtu akikataliwa ombi la kuwa wapenzi huwa anakata mawasiliano na yule muhusika?
Anakulea vibaya huyo.. yan yeye kutongoza tu ndo ujione wewe unaweza mchukulia vyovyotee..?Si kama namdharau, no.. but kuna ile namna namuona tu wa kawaida… akiniita ofisini kwake, akili inarudi kwenye kunitaka.. 😔 nachelewa kwendaa, ama naenda nikiwa nishakasirika 😔😔
Hapana…!Anakulea vibaya huyo.. yan yeye kutongoza tu ndo ujione wewe unaweza mchukulia vyovyotee..?
Sawa mkuu, nitajirekebisha hata mimi.sioni haja ya kuchanganya hivyo vitu viwili