Ile V8 umepeleka wapi tena?Halafu zinajaza sana kiasi ambacho mpaka zinatoa utu wetu. Sisi ni binadamu eti lakini ukiwa kwenye mwendokasi utadhani ng'ombe zinasafirishwa. Anyway namshukuru Mungu sipandi tena public transport nalinga na kaIST kangu mjini tena uzuri kana namna E[emoji39]
"Ngozi nyeusi ina laana milele"Basi moja inabeba watu si chini ya 350 during rush hours. Nauli ndogo ni 750. Per trip ni 262,500 hio ya kuishia Kimara tu. Chukulia basi kumi zifanye mzunguko huo mara 6 kuanzia saa 10 jioni hadi saa 3 usiku.
Roughly 262,500x10x6=15,750,000 hio ni Gerezani - Kimara one way hujahesabia kurudi. Ukiweka nenda rudi manaake unazungumzia 25M.
Kivukoni-Kimara nako upate 15,750,000 one way. Ukiweka nenda rudi maanake unazungumzia 30M kwa traffic ya ferry.
Hapo sijagusa ya mbezi mwisho ambayo ni 400x350=140,000
Ukiweka mabasi 10 yaende 6 trip kila moja ni 140,000x10x6 =8,400,000 hio ni one way Kimara-Mbezi tu during rush hours. Ukiweka 2 way maana yake inaweza gonga 12M.
Sijazungumzia less profitable routes kama Moroco, Muhimbili na Mwenge. Tuchukulie zote combined two ways zilete 23M tu during rush hours.
Twende kwenye hesabu ya jumla sasa.
Kwa masaa 5 tu ya jioni kuanzia saa 10.
Kimara-Gerezani: 25M
Kivukoni-Kimara: 30M
Kimara-Mbezi: 12M
Muhimbili-Morroco-Mwenge: 23M
SUB Totals================90M
Routes asubuhi: 70M
Routes jioni: 90M
TOTAL================160M
EXPENSES
FUEL. 20M
MISC. 5M (25)
NET==================135M
Humo una justify vipi kwamba umeshindwa nunua basi? Hio ni hesabu ya siku tu. Fanya kwa mwezi mzima utagundua kuwa hizo basi zinaweza generate 4.05B ukitoa mishahara ya kulipa staff wote, maintanance na vipuri utagundua the company makes around 2.5 Billions each month on average.
Basi moja la kichina sidhani kama linazidi 300M na hununui kila siku. Kwanini wanashindwa kununua gari hawa jamaa? Hivi wabongo ni nini tunaweza kusimamia wenyewe kikaenda bila ngendembwe? Ni aibu tupu!
Inawezekana, maana kwa route moja kuna watu wanashuka na kupandaIle mwendokasi moja inabeba watu 350!!
Masikhara haya
Hoja ipiEbu elezea vizuri Kuna hoja hapo naiona.
Ile mwendokasi moja inabeba watu 350!!
Masikhara haya
Sasa kama mtu ni Waziri atashindwa kweli wakati kwa Mwezi ana uhakika wa 30mil?Watu wanafanya Birthday party Newyork mzee.., mirija yao ndio ipo humo..,
Maswali kuntu mzee wa mitulingas[emoji3591] Nitajie mradi mmoja tu wa serikali ambao unaendeshwa kwa weledi na kwenda kama unavyotakiwa.
[emoji3591] Nitajie kitu ambacho sisi Wabongo tulishawahi kuanzisha na kikaenda vizuri.
[emoji3591] Nitajie taasisi au shirika lo lote la serikali ambalo linafanya kazi inavyopaswa. Labda NIDA! [emoji16][emoji16][emoji16]
Nipo nimekaa paleee [emoji117][emoji117][emoji117]
Haitokaa ipatikane kwanza wenyewe kwa wenyewe wanakwamishana, kuna mtu wiki iliyopita kafwatilia cheti cha kuzaliwa akaambiwa rita aende na kitambulisho cha nida na wala si namba ya nida, huku nida wenyewe sijui hata kama wanafotoa tena hvo vitambulisho, sasa unawaza rita ina serikali yake isiyotaka namba kutoka nida yenye serikali yao nyingine ama vipi,[emoji3591] Nitajie mradi mmoja tu wa serikali ambao unaendeshwa kwa weledi na kwenda kama unavyotakiwa.
[emoji3591] Nitajie kitu ambacho sisi Wabongo tulishawahi kuanzisha na kikaenda vizuri.
[emoji3591] Nitajie taasisi au shirika lo lote la serikali ambalo linafanya kazi inavyopaswa. Labda NIDA! [emoji16][emoji16][emoji16]
Nipo nimekaa paleee [emoji117][emoji117][emoji117]
Magari mengi ya mwendokasi yako grounded pale karakana.Inachokera ni ile hali ya mtu kusimama kuanzia saa 10 hadi saa 12 uko foleni gari haziji na njia haina foleni. Wakati kulikuwa na uwezekano after every 10 minutes gari inatoka.
Haitokaa ipatikane kwanza wenyewe kwa wenyewe wanakwamishana, kuna mtu wiki iliyopita kafwatilia cheti cha kuzaliwa akaambiwa rita aende na kitambulisho cha nida na wala si namba ya nida, huku nida wenyewe sijui hata kama wanafotoa tena hvo vitambulisho, sasa unawaza rita ina serikali yake isiyotaka namba kutoka nida yenye serikali yao nyingine ama vipi,
Tanzania bado sana